Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 54
- 76
Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mei mwaka huu litatimiza miaka 70 ya Uhai wake.
TBC uliasisiwa mwaka 1951 na wakati huo ilijulikana kama Sauti ya Dar es Salaam.
Tangu hapo TBC imepita vipindi mbalimbali na kubwa mojawapo likiwa ni kusaidia ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, ustawi wa Taifa na watu wake na kulinda utamaduni wa Taifa letu.
Kwa sasa TBC inamiliki vyombo vifuatavyo TBC 1, TBC 2, Safari Channel, TBC Taifa, TBC FM, TBC International na TBC Arusha.
Waandishi mahiri wa habari wanaofahamika ndani na nje ya nchi pia wamepikwa na shirika la Utangazaji la Taifa mfano Eda Sanga, Paul Sozigwa na wengineo.
Hakika TBC itaendelea kusalia kuwa Mama wa Utangazaji nchini.
TBC uliasisiwa mwaka 1951 na wakati huo ilijulikana kama Sauti ya Dar es Salaam.
Tangu hapo TBC imepita vipindi mbalimbali na kubwa mojawapo likiwa ni kusaidia ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, ustawi wa Taifa na watu wake na kulinda utamaduni wa Taifa letu.
Kwa sasa TBC inamiliki vyombo vifuatavyo TBC 1, TBC 2, Safari Channel, TBC Taifa, TBC FM, TBC International na TBC Arusha.
Waandishi mahiri wa habari wanaofahamika ndani na nje ya nchi pia wamepikwa na shirika la Utangazaji la Taifa mfano Eda Sanga, Paul Sozigwa na wengineo.
Hakika TBC itaendelea kusalia kuwa Mama wa Utangazaji nchini.