Vipi wakuu, hali zenyu? Naomba kujua kama TBC na STAR TV wamebadili frequency au vipi?
Maana ni karibia miezi miwili sasa kwenye dish langu haipatikani.
Au wametolewa kwenye satellite?
Tafuteni decoda za Mpeg4 mtafute na fundi ategeshe degree 36E mtazipata kupitia Agape bila chenga mi nna muda mrefu sana nazipata kupitia hapo tangu wamepotea.
Vipi wakuu, hali zenyu? Naomba kujua kama TBC na STAR TV wamebadili frequency au vipi?
Maana ni karibia miezi miwili sasa kwenye dish langu haipatikani.
Au wametolewa kwenye satellite?
kama ilivyo pesa... Nguvu za channel huwa zina-fluctuate... Na nadhani nyoote hapo mnatumia nyungo za futi 6...chukueni futi nane hasa lile la nyavu...kitu signal ni kubwa kuliko na hazikatiki...frequence na symbol rate 6azijabdilika..ni zile zile
kama ilivyo pesa... Nguvu za channel huwa zina-fluctuate... Na nadhani nyoote hapo mnatumia nyungo za futi 6...chukueni futi nane hasa lile la nyavu...kitu signal ni kubwa kuliko na hazikatiki...frequence na symbol rate 6azijabdilika..ni zile zile
hata nikipewa bure cchukui na kama nikichukua ntaligawa kwa mwingine. Umeshaona umebebanishwa na lnbs za ku-band? Unajua ni kwa nn? Ukiwa layman katika masuala ya sat tv utaona fahari kuwa na ungo wa wavu. Nyungo hizo zilitengenezwa maalum kwa sehemu za janjwa ambazo upepo mkali ni kawaida. Nikiwekewa ungo wa bati na wavu ntachagua wa bati no mata wat.
Tafuteni decoda za Mpeg4 mtafute na fundi ategeshe degree 36E mtazipata kupitia Agape bila chenga mi nna muda mrefu sana nazipata kupitia hapo tangu wamepotea.
Mpeg2 huwezi kamata hata signal haitatoa Lnb ni Ku-band Channel ni Itv,Eatv,startv,Tbc1,K24,Mbc2,ZeeCinema,Setanta,Agape,Cnn,Aljazeera,Coloura,Africa Unitetv.