only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,342
- 2,528
......Leo kwenye kipindi chao kinachorushwa kuanzia saa saba mchana kinachoitwa Dira ya mchana,TBC1 wametangaza habari ambayo naweza sema kuwa ni propaganda chafu zinazotumiwa na CCM kudhoofisha nguvu ya vyama vya upinzania hasa CHADEMA kwenye kinyang'anyiro cha ubunge kule Arumeru Mashariki.
......Akiripoti mwandishi wao amedai kuwa kuna wanachama wa CHADEMA na TLP wamejiunga CCM akiwepo M/kiti wa jumuiya ya wazazi wa TLP..cha kushangaza huyu mwandishi ameonyesha kadi ameonyesha kadi zisizopungua 10 za TLP na KUSHINDWA KABISA KUTUONYESHA KADI ZA WANACHAMA WA CHADEMA..Hii naweza sema ni mchezo mchafu na wakitoto tena unaorushwa na kituo chenye dhamana ya kulinda maslahi ya UMMA bila kulalia upande mmoja...napata taabu kufikiri kuwa mbona huyu mwandishi akutoonyesha kadi za CHADEMA? na mtu atahitwaje mwanachama wa CHADEMA bila kuwa na kadi?
......Ombi langu kwa chumba cha habari TBC1 wanapaswa kujua kuwa habari zao tunazisoma na kuzisikiliza na kuziona..utumbo wanaofanya kuna siku utawagharimu..na niwakati wa hawa waandishi wa hiki kituo cha habari kuzingatia weledi badala ya kuendelea kulalia CCM utadhani kuwa CCM watatawala milele.
......Akiripoti mwandishi wao amedai kuwa kuna wanachama wa CHADEMA na TLP wamejiunga CCM akiwepo M/kiti wa jumuiya ya wazazi wa TLP..cha kushangaza huyu mwandishi ameonyesha kadi ameonyesha kadi zisizopungua 10 za TLP na KUSHINDWA KABISA KUTUONYESHA KADI ZA WANACHAMA WA CHADEMA..Hii naweza sema ni mchezo mchafu na wakitoto tena unaorushwa na kituo chenye dhamana ya kulinda maslahi ya UMMA bila kulalia upande mmoja...napata taabu kufikiri kuwa mbona huyu mwandishi akutoonyesha kadi za CHADEMA? na mtu atahitwaje mwanachama wa CHADEMA bila kuwa na kadi?
......Ombi langu kwa chumba cha habari TBC1 wanapaswa kujua kuwa habari zao tunazisoma na kuzisikiliza na kuziona..utumbo wanaofanya kuna siku utawagharimu..na niwakati wa hawa waandishi wa hiki kituo cha habari kuzingatia weledi badala ya kuendelea kulalia CCM utadhani kuwa CCM watatawala milele.