TBC mko juu!

Hivi bado kuna watu wanaangali TBC?mi nilishaacha muda mrefu pamoja na kwamba inanasa kwenye king'amuzi changu,siangalii hata taarifa yao ya habari,hata iweje sitaki..
kodi yako lakini bado wanakula hata usipoangalia, bora uwe unaangalia hata kipindi cha chereko uona maharusi wanavyokula ndafu
 
Kweli wanatisha maana hata kwenye dstv haikamati vizuri kila siku matatizo tu ya picha na sauti....
 
..asante kwa kunikumbusha machungu,...
 
Hivi majuzi citizen tv imetanganza nafasi za watangazaji. Sifa mwombaji lazima awe angalau na shahada ya kwanza/bachelors degree. Hivi TCB viegezo yva ajira ni kiwango cha degree au venginevo maadam utendaji pale mashaka matupu.
 
Huwa naifuatilia kipindi cha bunge tu. Hivi bado ipo eenh?
 

Mwingine huyo.......!
 
tbc ni balaa tupu!@ huwa nachungulia tu napotea,hata wageni wao ni magamba matupu hakuna wa cdm,adc,sanasana utawaona tlp,udp 'a cuf.asanteni.
 

Heading imeharibu maana halisi ya thread hii!
 
Washenzi tu ndo wamehimiza tuwe na vingamuzi baada ya kula 10%,Tanzania itakufa kwa sababu ya wapenda tumbo kama TBC
 
hivi ni kweli sisi watanzania hata tuwe na elimu kiasi kikubwa bado tunahitaji wazungu waje wapange programme kwenye tivii zetu, huyo aliyekalia kiti cha tido kwani sio creative??? mi sijawahi kuona hata umuhimu wa tibisii bora hiyo ruzuku ipeleke vitabu kwenye baadhi ya shule za kata zizalishe watu watakaokuja kuikomboa tibisii nakumbuka wakati wa mechi za ulaya nilisikia kwa mbali kwamba tibisii wamezihujumu station binafsi ili washindwe kuonyesha mechi kwasababu wao wanaruzukiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…