Hii tbc sio ya taifa jamani, nitumie zana gani ili somo lieleweke? nchi nyingi tv za taifa zinaongoza kwa uweledi, ufikivu,kuthamini mahitaji ya watu mfano:Botswana wananchi walitaka tv yao "IWE FTA KWENYE KU" na wapo hivyo na wanaipata kiurahisi kabisa- TANZANIA HAKUNA UWAJIBIKAJI, TBC HAIMFIKIRII MLAJI WA MWISHO.