swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
Mimi jana nilikuwa dar maeneo ya posta na baadae IFM nilibahatika kuhojiwa na mwandishi wa TBC( )kuhusu mapokeo ya hotuba ya rais kikwete na rafiki yangu pia akahojiwa vilevile lakini cha kushangaza mawazo ya wachambuzi makini hayatangazwi TBC kama maoni ya watanzania wanaleta mawazo ya wale wanaoisifia tu kwa bahati mbaya kazi yangu hainiruhusu kuwa wazi lakini kimsingi Tbc wapo kwenye kampeni na ukiangalia hotuba hii haikubaliki kwa wengi sana.
Tbc hawaoni aibu.ili habari ivutie lazima iwe na changamoto sasa tbc wao kila aliyehojiwa kapongeza!!! Kila aliyeulizwa kampongeza rais kivipi?k hajui kubalance habari jifunzeni Check in balance ya habari.
Tbc mnakera sana.kikwete anekuwa miungu mpaka kila mtu amsifu? Ampongeze?
Tbc hawaoni aibu.ili habari ivutie lazima iwe na changamoto sasa tbc wao kila aliyehojiwa kapongeza!!! Kila aliyeulizwa kampongeza rais kivipi?k hajui kubalance habari jifunzeni Check in balance ya habari.
Tbc mnakera sana.kikwete anekuwa miungu mpaka kila mtu amsifu? Ampongeze?