TBC kutorusha hewani taarifa za Ufoo

Pimbi wewe nyinyi ndio mnatufanya tuache kuja jukwaa hili mnadhani kila mtu humu ni mvaa mlegezo mwenzenu wakati hujui mama yako mzazi anaweza kuniita honey.

Tulia kwanza unyolewe wewe! Una haaaaaamu.
 
Hoji pia ITV kutotoa habari za Mushi
 
Ufoo siyo mwanachama wa CCM ndo maana TBCCM hawalioni tukio hilo kama habari!!!!
kWELI KABISA NA NDO MAANA YULE AFANDE KENGEZA ALISEMA MTUHUMIWA WA KWANZA NI UFOO ALIEPIGWA RISASI IMAGINE SUCH A BLUNT REMARKS FROM A UNIFORMED PERSON!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…