TBC Kanda ya Ziwa kunani

Bahimba

JF-Expert Member
May 8, 2013
510
346
Wadau naomba kujuzwa kwa mwenye taarifa yeyote juu ya tatizo walilonalo TBC 1, ni wiki ya pili sasa matangazo yao huku Kanda ya ziwa hayaonekani vizuri na hakuna taarifa yeyote kunani pale jamani..
 
Wadau naomba kujuzwa kwa mwenye taarifa yeyote juu ya tatizo walilonalo TBC 1, ni wiki ya pili sasa matangazo yao huku Kanda ya ziwa hayaonekani vizuri na hakuna taarifa yeyote kunani pale jamani..
mkuu, kuna uwezekano wamiliki wanaiona tibisiwani ni redundant. habari ya mujini kwa wamiliki sasa hivi ni kilaudis!
 
Hata redio tbc taifa huku inakatakata sana hasa hapa geita. Wamefungua fm 87. 7 juzijuzi tu lkn iko poor ktk sound. Cjui hawana fundi hapa geita. Wafanye marekebisho.
 
Back
Top Bottom