TBC acheni hila

TBC acheni hila

mzalendokweli

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
579
Reaction score
138
Kila zinapoanza kujengwa hoja za maana mnakata matangazo. Sitaki kuamin serikali ndio uimekua cheap na oga namna hii..
 
kazi ya tbc ni kupindisha habari au umesahau chagonja alivyo nukuliwa juu ya mauaji ya mwangosi?( eti kuna kitu kizito kilitoka upande wa pili) hii ndo tbc bwana
 
Nyinyi pipo! si nishawaonya msiangalie hilo li chaneli? Mtakufa kwa stress! Oooooohhhhhh!
 
Yaani mimi huwa sitazami TBC hata kidogo ni bora nikaangalia cartoon.
 
Sasa tusipoitazama tutajuaje yanayojiri bungeni?labla lengo lao tususe tuache kutazama bunge. Si ushasikia mapendekezo ya kutoonyesha?
 
hivi tbc ndo ki2 gani?

T=Tanzania B=Brodicasting C=Corporation yaani kwa maana nyingine ni Shirika la Utangazaji Tanzania TBC. Lakini siku hizi limebatizwa ati na kuitwa Shirika la utangazaji CCM!!! Na hii imekuja ati baada ya Tido Mhando kusepeshwa. Teh!
 
Kila zinapoanza kujengwa hoja za maana mnakata matangazo. Sitaki kuamin serikali ndio uimekua cheap na oga namna hii..

Umeyataka mwenyewe, :target:..achana hilo tv. Hata hivyo, kutazama Bunge ni muhimu....sijui ni kwanini ITV hawaonyeshi...na Startv sijui walikwenda wapi.....? Halafu, ile Mlimani Tv nayo sijui ilitupwa.
 
Nyumabni kwetu hATUWEKI tbc hata , habari zao ni za kuchagua sana, zile tu wanazo zipenda ndio zinazo wekwa
 
nadhani wana hamu ya kipigo!
Mnyika anaongea wanaweka ngoma!
 
Uwago wa ccm ndo utawapeleka kuzimu kwani wanafikiri watanzania wa sasa ni wale wa enzi za Mwalimu kwisha habari Yao kwani tayari wameshachimba kaburi ni muda tu wa sala tunasubiri tuwapumzishe!
 
Back
Top Bottom