ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Mimi natofautiana sana na watu wengi kumuhusu TB Joshua..na nawashangaa watanzania na walimwengu kwa ujumla.Kama tunakubali kuwa Shekh Yahya alikuwa ni kimeo kwanini tukubali TB Joshua tumkubali? Huyu jamaa ni janga kwa dunia kwasasa.
wote matapeli, lengo lao pesa yako. siku 60 hazijapita tangu atabiri kifo cha kiongozi? Inawezekana jamaa kabobea kwenye uchawi, anaweza kumwua yeyote akitaka