Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
Nimeona tangazo la ajira za tazara zikiwemo za huko zambia, ila nilitaka kupiga simu niwaulize baadhi ya mambo ili nijue kama naweza kuaply hasa zile za vituo vya kazi zilizo zambia lakini sina namna ya kupata namba zao msaada pls