Sifi Leo Platinum Member Joined Mar 30, 2012 Posts 5,939 Reaction score 10,823 Aug 26, 2025 #1 Wee chungulia TU, jiulize kwa Nini havikunywewa. Kataaa muhuni Attachments Screenshot_2025_0826_042116.jpg 150.4 KB · Views: 19
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,912 Reaction score 119,258 Aug 26, 2025 #2 Na hapa ilikuwa ni baada ya mdogo mtu kukamatwa na bunduki za kila aina zaidi ya 70, za kufanyia matukio ya ujangili! Halafu miezi michache baadaye kesi ilifutwa, na Channel Ten ikarudishwa kuwa mali ya chama.
Na hapa ilikuwa ni baada ya mdogo mtu kukamatwa na bunduki za kila aina zaidi ya 70, za kufanyia matukio ya ujangili! Halafu miezi michache baadaye kesi ilifutwa, na Channel Ten ikarudishwa kuwa mali ya chama.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,107 Reaction score 185,408 Sep 6, 2025 #4 Kawaida sana... Cc: Mahondaw