Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,461
Huu umezidi matumizi ya nyumbani. Pengine ni wa biashara.Jamani hata Boss kama anatoka safari asinunue mahitaji ya nyumbani kwake / Nyumba ndogo kisa anatumia Gari ya Serikali mhh inawezekana siku hizi uko mambo yamebadilika huwenda aitakiwi....
Jamani hata Boss kama anatoka safari asinunue mahitaji ya nyumbani kwake / Nyumba ndogo kisa anatumia Gari ya Serikali/Umma mhh inawezekana siku hizi uko mambo yamebadilika huwenda aitakiwi....
Huu umezidi matumizi ya nyumbani. Pengine ni wa biashara.
Hii nimeikuta Vigwaza mkoani Pwani, juzi.
Huu umezidi matumizi ya nyumbani. Pengine ni wa biashara.
Huu umezidi matumizi ya nyumbani. Pengine ni wa biashara.
Hoja hapa ni matumizi ya mali ya umma. Ukiacha hivi, kuna siku ambulance itabeba mkaa. Kama tulikemea ndege ya rais kubeba majani ya ng'ombe kutola dodoma kwenda zanzibar, tulikemea kwa sababu ndege ni ya umma.Kaka uliona kwenye hilo gari kuna watu wangapi?
Kama kulikuwa na Dereva na abiria wake wanne (assume ni Double cabin) na kila abiria kanunua Gunia lake hayawezi kufika hiyo idadi?
kwa nini unamashaka kuwa ni mzigo wa mtu mmoja tu?
Kwani magari ya umma yalitakiwa yatumikeje bro? Kwanini imekuwa na cabin na sehemu ya kuwekea mzigo? What if huo mkaa ni wa matumizi ya ofisi? Kwani wafanyakazi hawali? Ulifanya jijihada zozote kujiridhisha kwamba mkaa huo ulipakiwa kibiashara?