kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwanini mnapenda kulalamikia vitu vidogo vidogo na kuchochea chuki kwa waamuzi wakati timu nyingine zinafanyiwa hayo hayo ikiwepo Simba yenyewe na hawalalamiki?
Yaani hata goli la Namungo eti linalalamikiwa! Huu ni uchambuzi maandazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata goli la Namungo eti linalalamikiwa! Huu ni uchambuzi maandazi
Sent using Jamii Forums mobile app