A
Anonymous
Guest
Hizi ajira zao zilitangazwa mnamo mwaka jana mwezi wa nane (Agosti 2024) mpaka kufikia leo mchakato wake haujakamilika.
Tukiangalia taasisi kama Tanapa, Uhamiaji, Polisi pamoja na Magereza mchakato wao huwa unakamilika ndani ya miezi mitatu au miwili
Je, kinachokamisha hizi taasisi za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania(Tanzania Wildlife Management Authority - TAWA) zishindwe kuajiri kwa muda muafaka ni kitu gani mpaka sasa ni miezi 7 hakuna kitu kinachoelewaka.
1. Je, ni uzembe wa baadhi ya watu.?
2. Je, bajeti hakuna na kwa nini watangaze ajira ?
Wadau tushirikiane kutoa maoni juu ya hili...
Vijana mtaani waliosomea taaluma ya uhifadhi wanateseka sana, maana mtu anakaa miezi karibu saba au nane mchakato bado unataka uende mpaka mwa mzima.
My country 😭 😭
Learn or perish
Tukiangalia taasisi kama Tanapa, Uhamiaji, Polisi pamoja na Magereza mchakato wao huwa unakamilika ndani ya miezi mitatu au miwili
Je, kinachokamisha hizi taasisi za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania(Tanzania Wildlife Management Authority - TAWA) zishindwe kuajiri kwa muda muafaka ni kitu gani mpaka sasa ni miezi 7 hakuna kitu kinachoelewaka.
1. Je, ni uzembe wa baadhi ya watu.?
2. Je, bajeti hakuna na kwa nini watangaze ajira ?
Wadau tushirikiane kutoa maoni juu ya hili...
Vijana mtaani waliosomea taaluma ya uhifadhi wanateseka sana, maana mtu anakaa miezi karibu saba au nane mchakato bado unataka uende mpaka mwa mzima.
My country 😭 😭
Learn or perish