Tatoo kwa walinzi na maboss

huu ni ubunifu kwa ajiri ua walinzi na mabossi wanaotaka kuonekana wanamacho kila kona, kwa mapolisi nayo ingekua poa zaidi
 
Lol!!

Afadhali nimwone mimi lakini si watoto maana hawatalala. Kila mara watakuwa wanaweweseka na woga+hofu vikiwashika. Inatisha!!
 
vipi hii tukitumia kuwatishia mafisadi
wanaweza kuweweseka na wengine kuanguka majukwani
Lol!!

Afadhali nimwone mimi lakini si watoto maana hawatalala. Kila mara watakuwa wanaweweseka na woga+hofu vikiwashika. Inatisha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…