i wish wa Tanzania wangeona kazi ya (ukatili) wa POLISI wa KENYA au SOUTH AFRICA . wangewaheshimu sana Polisi wetu na kusingetokea haya yanayotokea . katika hizo nchi polisi hana muda hata kidogo wa kubishana na raia . Tanzania raha sana hadi polisi anakubembeleza . unamsomesha anakuelewa . nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu polisi wanazomewa chuo kikuu mlimani UDSM tena wamevaa uniform na wapo kikazi .
polisi ana chombo cha moto anapokupa amri na ukakataa kutii unategemea nini . unataka akitumie hicho chombo cha moto ufe ili umlaumu au usumbue ndugu zako na wakupendao kukuzika . tafadhari watanzania tuzingatie sheria na tuheshimu jeshi la polisi kama tunavyoheshimu majeshi mengine. mfikishie mwenzako ujumbe huu . asiyetaka yatakayomkuta asije kulalamika hapa
i wish wa Tanzania wangeona kazi ya (ukatili) wa POLISI wa KENYA au SOUTH AFRICA . wangewaheshimu sana Polisi wetu na kusingetokea haya yanayotokea . katika hizo nchi polisi hana muda hata kidogo wa kubishana na raia . Tanzania raha sana hadi polisi anakubembeleza . unamsomesha anakuelewa . nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu polisi wanazomewa chuo kikuu mlimani UDSM tena wamevaa uniform na wapo kikazi .
i wish wa Tanzania wangeona kazi ya (ukatili) wa POLISI wa KENYA au SOUTH AFRICA . wangewaheshimu sana Polisi wetu na kusingetokea haya yanayotokea . katika hizo nchi polisi hana muda hata kidogo wa kubishana na raia . Tanzania raha sana hadi polisi anakubembeleza . unamsomesha anakuelewa . nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu polisi wanazomewa chuo kikuu mlimani UDSM tena wamevaa uniform na wapo kikazi .
polisi ana chombo cha moto anapokupa amri na ukakataa kutii unategemea nini . unataka akitumie hicho chombo cha moto ufe ili umlaumu au usumbue ndugu zako na wakupendao kukuzika . tafadhari watanzania tuzingatie sheria na tuheshimu jeshi la polisi kama tunavyoheshimu majeshi mengine. mfikishie mwenzako ujumbe huu . asiyetaka yatakayomkuta asije kulalamika hapa
i wish wa Tanzania wangeona kazi ya (ukatili) wa POLISI wa KENYA au SOUTH AFRICA . wangewaheshimu sana Polisi wetu na kusingetokea haya yanayotokea . katika hizo nchi polisi hana muda hata kidogo wa kubishana na raia . Tanzania raha sana hadi polisi anakubembeleza . unamsomesha anakuelewa . nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu polisi wanazomewa chuo kikuu mlimani UDSM tena wamevaa uniform na wapo kikazi .
Police hulipwa kwa kodi zetu! Acha ufala wewe Mbwiga!
Kuna mtu mmoja amenielewa kama nilivyosema . Jeshi la Polisi linafuata na kuilinda katiba . Sheria ya nchi inasema unapohitaji kufanya maandamano au mkusanyiko basi omba kibali ili uongozi wa serikali eneo husika itambue na ikibidi itoe ulinzi. Umeomba kibali na umejibiwa subiri sensa ipite. Wewe hutaki unabishana na serikali yako. MKUSANYIKO WOWOTE AU MAANDANO ya aina yeyote. bila kibali ni uvunjaji wa sheria . Sasa polisi inafika eneo la tukio na kuomba mtawanyike nyie hamtaki inabidi polisi iwatawanye kwa kwa jinsi walivyofundishwa kwa mbinu zao. NCHI HII SIYO YA CHADEMA PEKE YAKE. hivi CCM ,CUF,TLP at the same day + time . Wakisema nao wakusanyike au waandamane itakuje?????
Majuto ameshtuka mapema, huyu kupe inawezekana ni jamaa mmoja muuza ugoro tu, sasa stori za kijiwe chake cha ugoro analeta huku kwa great thinkers!
i wish wa Tanzania wangeona kazi ya (ukatili) wa POLISI wa KENYA au SOUTH AFRICA . wangewaheshimu sana Polisi wetu na kusingetokea haya yanayotokea . katika hizo nchi polisi hana muda hata kidogo wa kubishana na raia . Tanzania raha sana hadi polisi anakubembeleza . unamsomesha anakuelewa . nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu polisi wanazomewa chuo kikuu mlimani UDSM tena wamevaa uniform na wapo kikazi .