Mdokezi2
Member
- Apr 4, 2014
- 70
- 5
Nimefuatilia kwa karibu kabisa kuhusu taarifa mbalimbali na maelezo yanayotolewa kuhusiana na muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania!! Maelezo mengi katika hayo ni yasiyojitosheleza na hayatoi mwanga kwa wananchi waweze kuujua kwa utoshelevu na kuwawezesha kuutetea!! Naiomba serikali na wananchi wote wanaotoa maelezo ya kutosha na sahihi kuhusu muungano!!