Tatizo: Sahara media

Kitikiti

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2015
Posts
353
Reaction score
249
Vipindi vya Watanzania Tuzungumze Magazeti au movie za jioni hasa weekends, kuna matatizo ya kukatikakatika au kutoonekana kabisa.

Hili ni tatizo la miaka mingi tu. Inaboa kufuatilia vipindi hivi hapo StarTv au radio free africa
 
Vipindi vya Watanzania Tuzungumze Magazeti au movie za jioni hasa weekends, kuna matatizo ya kukatikakatika au kutoonekana kabisa.

Hili ni tatizo la miaka mingi tu. Inaboa kufuatilia vipindi hivi hapo StarTv au radio free africa
Continental
 
Vipindi vya Watanzania Tuzungumze Magazeti au movie za jioni hasa weekends, kuna matatizo ya kukatikakatika au kutoonekana kabisa.

Hili ni tatizo la miaka mingi tu. Inaboa kufuatilia vipindi hivi hapo StarTv au radio free africa
Pole sana hiyo tv wanaitazama wana familia
 
Wahusika fuatilieni suala hili, hasa nyakati za asubui kipindi cha tuzungumze magazeti wanahabari wanapata wakati mgumu kuwahabarisha wadau.

Na kufuatia kukatishwa vipindi.

Msg sent and I hope received for further action.
 
rfa songea 89.6 Kila mda inakatika hewani inakuwa kama ina si crachi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…