Tatizo ni wanawake au wanaume

Tatizo ni wanawake au wanaume

Leomimi

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
2,547
Reaction score
874
Wana jf naomba kujua hapa kwenye mausiano inapotokea mwanaume anatembea na rafiki wa girlfriend wake tatizo ni nani kati yao?
 
Wana jf naomba kujua hapa kwenye mausiano inapotokea mwanaume anatembea na rafiki wa girlfriend wake tatizo ni nani kati yao?

mwanamke anatatizo gani hapo? ni mitamaa tu ya mijianaume kufungua zipu kwa kila mtu!
 
hakuna tatizo kabisa hapo..wakati upo na rafiki wa gf wako, rafiki yako nae yupo gf yako!! NGOMA SULUHU
 
Ni michakato tu na miishemishe za maisha..katika maisha lolote laweza tokea
 
Mwenye makosa ni mwanamke kujifanya disminder na kuachia best zake kuchat na boyfrnd.kwangu mm nshachimba biti sitaki best angu achat na my hubby.na kitu kingine kumcfia sana boy kwa shost kunafanya amtaman
 
Mwenye makosa ni mwanamke kujifanya disminder na kuachia best zake kuchat na boyfrnd.kwangu mm nshachimba biti sitaki best angu achat na my hubby.na kitu kingine kumcfia sana boy kwa shost kunafanya amtaman

we umeolewa maana unavyozichanganya hizo BF
na my Hubby LOL
 
he is mine kihalali,namuita lolote nalojisikia coz yote halali yake.usiogope

siogopi na sitokaa niogope!!!!!!

He is mine kihalali umehalalishiwa na nani!!!!!

Who told you kuwa wapenzi is a guarantee ya

marriage,the future is always unpredictable!!!!!!!
 
Mwenye makosa ni mwanamke kujifanya disminder na kuachia best zake kuchat na boyfrnd.kwangu mm nshachimba biti sitaki best angu achat na my hubby.na kitu kingine kumcfia sana boy kwa shost kunafanya amtaman

Watu wanabadilika sana......!
 
Back
Top Bottom