.Nazjaz leo tukanywee wapi? Pale Fair way leo kuna ka mvuto flani hivi.......
Nazjaz leo tukanywee wapi? Pale Fair way leo kuna ka mvuto flani hivi.......
Mke yupi kati ya wale watatu nilio nao?.
Mkeo kasema usirudi ,
Wakati unakuja pitia kwa Mromboo kabisa.........sema nao mwana....watulize tusker malt za kutosha....nikifika nikute zishatulia
Mke yupi kati ya wale watatu nilio nao?
Wakati unakuja pitia kwa Mromboo kabisa.........
midume mingine bwana, baada ya huo msala kesho utamkuta kanisani anaongoza kwaya
Mi nadhani Tuanzie Oceanic kula albatar.......Pale wazushi wengi, twende mamba
Mi nadhani Tuanzie Oceanic kula albatar.......