Tatizo la Wakenya kuingia nchini na kujiita Wachaga

Mwingereza

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
1,115
2,771
Serikali ya Tanzania isilale, kuna tatizo kubwa sana la uvamizi la wageni humu nchini hasa wakenya na Wanyarwanda. Mbaya zaidi hawa watu wameanza kujiita watanzania wenye asili ya kichaga. Wengine ni mashushushu (spies). Wiki mbili zilizopita, pale kwenye kisiwa cha Mbudya, kulikuwepo na wakenya kama 20 waliokuwa wakichukua picha za video za watanzania waliokuwa eneo hili wakiogelea. Hili ilileta mnyukano ambapo baadhi ya watanzania walikuja juu na kuhoji iweje picha zao zichukiliwe bila idhini yao kutumia drone? Kwa dharau kubwa hawa wakenya walidai wana haki ya kupiga picha popote ndani ya Tanzania

Kuna trend kubwa ya wakenya kwenye kila sekta, na wengi hasa ofisi za umma, na hasa private sector kujiita Wachaga. Wapo kwenye vyuo vyetu wanachukua mikopo. Kadhalika na wanyarwanda wanajiita waha. Nadhani ni muda muhafaka kwa serikali kuchunguza hili swala la hawa wageni. Siyo vibaya kuwakaribisha wageni, kwani nasi tunaenda nchi za wengine, ila utaratibu ukafuatwa wa uhamiaji.
 
Hamna mkenya akimuangalia tu unamjua, wana sura tofaut na wabongo

Ila kule kigoma huwez kubajua bakongolee au bahutu
Watusi rahis kuwajua
 
Hawa wakenya naona wanaanza kugeuza hii Nchi kama ya kwao.

Tutatoa tamko wajenge ukuta ngoja washike sharubu za Simba, kwanini wasitulie Nchini kwao kwani huko Kenya kuna utitiri wanawashwa miili yao?
 
Serikali ya Tanzania isilale, kuna tatizo kubwa sana la uvamizi la wageni humu nchini hasa wakenya na Wanyarwanda. Mbaya zaidi hawa watu wameanza kujiita watanzania wenye asili ya kichaga. Wengine ni mashushushu (spies). Wiki mbili zilizopita, pale kwenye kisiwa cha Mbudya, kulikuwepo na wakenya kama 20 waliokuwa wakichukua picha za video za watanzania waliokuwa eneo hili wakiogelea. Hili ilileta mnyukano ambapo baadhi ya watanzania walikuja juu na kuhoji iweje picha zao zichukiliwe bila idhini yao kutumia drone? Kwa dharau kubwa hawa wakenya walidai wana haki ya kupiga picha popote ndani ya Tanzania

Kuna trend kubwa ya wakenya kwenye kila sekta, na wengi hasa ofisi za umma, na hasa private sector kujiita Wachaga. Wapo kwenye vyuo vyetu wanachukua mikopo. Kadhalika na wanyarwanda wanajiita waha. Nadhani ni muda muhafaka kwa serikali kuchunguza hili swala la hawa wageni. Siyo vibaya kuwakaribisha wageni, kwani nasi tunaenda nchi za wengine, ila utaratibu ukafuatwa wa uhamiaji.
Usijali itaundwa Tume
 
Hii mitandao isikuze jambo as if sasa wakenya ndiyo wamevamia Tanzania na wanaishi bila kufuata utaratibu za uhamiaji kwa akili tu ya case ya incident moja mahali Fulani ambayo hata huyo mtoa mada hajasema alichukua hatua gani kama kweli ni mzalendo na roho ilimuuma kwa tukio hilo.

Nchi inapakana na nchi kama 8 au 9 hivi kuna immigration office rasmi kwa kila nchi na njia za panya pia.na kumbuka wapo wanainchi wazalendo na wasio wazalendo pia.

Ni kazi ya kila mmoja kuilinda nchi hii tukijua kuwa kila mmoja ni mlinzi wa Taifa kwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika pale unapoona kuna hali usiyoielewa ktk eneo lako unaloishi au unakofanya kazi.

Kwa ushirikiano huo utasaidia idara ya uhamiaji kufanya kazi kuwa rahisi zaidi na bila kupata kikwazo chochote lakini tukiwaficha majumbani kwetu na kichaga tukawafundisha Basi tunajimaliza wenyewe.

Ila tukumbuke mipakani kote kuna utamaduni wa ujirani mwema toka enzi
 
Usalama wako busy na vyama vya siasa.
I wonder why wanaitwa usalama WA taifa.
Kuna wageni wengi Sana nchi hii wananufaika na rasilimali zetu, hawalipi kodi na wananyanyasa watanzania
 
Hii mitandao isikuze jambo as if sasa wakenya ndiyo wamevamia Tanzania na wanaishi bila kufuata utaratibu za uhamiaji kwa akili tu ya case ya incident moja mahali Fulani ambayo hata huyo mtoa mada hajasema alichukua hatua gani kama kweli ni mzalendo na roho ilimuuma kwa tukio hilo.

Nchi inapakana na nchi kama 8 au 9 hivi kuna immigration office rasmi kwa kila nchi na njia za panya pia.na kumbuka wapo wanainchi wazalendo na wasio wazalendo pia.

Ni kazi ya kila mmoja kuilinda nchi hii tukijua kuwa kila mmoja ni mlinzi wa Taifa kwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika pale unapoona kuna hali usiyoielewa ktk eneo lako unaloishi au unakofanya kazi.

Kwa ushirikiano huo utasaidia idara ya uhamiaji kufanya kazi kuwa rahisi zaidi na bila kupata kikwazo chochote lakini tukiwaficha majumbani kwetu na kichaga tukawafundisha Basi tunajimaliza wenyewe.

Ila tukumbuke mipakani kote kuna utamaduni wa ujirani mwema toka enzi
Mkuu, usichukue swala la wakenya poa. Hawa jamaa wamejaa kila kona hapa Dar. Ofisini kwangu, ni wakenya kabisa. Na lafudhi ila wanadai ni watanzania wamesema tu Kenya.

Chuo tena UD nimesoma nao kibao na walikuwa wanalamba boom kama kawa wakidai ni watanzania wa Rombo. Hii issue siyo ya kupuuzia.....immigration wamelala pamoja na usalama wanafuatana na Vida gas vya upinzania
 
Mkuu, usichukue swala la wakenya poa. Hawa jamaa wamejaa kila kona hapa Dar. Ofisini kwangu, ni wakenya kabisa. Na lafudhi ila wanadai ni watanzania wamesema tu Kenya.

Chuo tena UD nimesoma nao kibao na walikuwa wanalamba boom kama kawa wakidai ni watanzania wa Rombo. Hii issue siyo ya kupuuzia.....immigration wamelala pamoja na usalama wanafuatana na Vida gas vya upinzania
Kama hao unadai ni wa Kenya na wako Ofisi kwako na wao wanadai ni wa Tanzania toa taarifa Uhamiaji tu waje hapo wafanye kazi ya kujua uhalali wao bali itakusaidia wewe unayedhania dhania yawezekani ni wabongo kweli ila.

Usilalamike tu nyuma ya keyboard wakati watendaji wapo kwa kazi hiyo.

Kumbuka kuna wabongo wamesoma Kenya toka kindergarten mpaka university lazima watakuwa na lafudhi ya Kenya
 
Waacheni waje,ukiona mtoto anatoroka kwao anaenda kuishi kwa jirani,basi ujue kwao hali si nzuri,waache waje tupate wafanyakazi wa bei rahisi
 
yani kama pale Himo.wakenya wanamiliki mpaka ardhi yetu kinyume cha sheria,wamejazana kufundisha kwenye shule kama scolastica,Bethel na Royal huku hawana vibali.maofisa wa uhamiaji wao wanajali rushwa tu.
 
yani kama pale Himo.wakenya wanamiliki mpaka ardhi yetu kinyume cha sheria,wamejazana kufundisha kwenye shule kama scolastica,Bethel na Royal huku hawana vibali.maofisa wa uhamiaji wao wanajali rushwa tu.
Hadi Holili mkuu.. Kuna shule inaitwa St. Ritaliza nilienda mchukua dogo juzi daa wamejazana pale hd kero.. Et wengine wameletwa kufundisha kiswahili
 
Back
Top Bottom