ramsoshare
Member
- Oct 17, 2016
- 65
- 47
Habari wanajamvi
Leo wkt nipo job kuna rafiki yangu aliniambia kwamba toka Jana uume umesimama na anapata maumivu makali, nini chanzo cha hilo tatizo?
Mke anaye sema hakuwa ktk hali nzuri ya yeye kufanya naye kitu.Amekosa MKE ama akueleze sababu zilizosababisha tumsaidie
No ni jamaa nafanya naye kazi.Utakua ww mwenyewee....hahah
Labda nimwambie akirudi home akajaribu.Apige puchu tu na utalala
Ikitokea tena apake pilipili kwenye mshipi wake, mambo powwwa!!Labda nimwambie akirudi home akajaribu.
Habari wanajamvi
Leo wkt nipo job kuna rafiki yangu aliniambia kwamba toka Jana uume umesimama na anapata maumivu makali, nini chanzo cha hilo tatizo?
UPDATE
Kuna MTU alimshauri akajimwagie maji baridi, kidogo imepungua kasi ila anaelekea hospitali kumuona daktari.
Tumia kichwa kufikiri na cyo makal..Ulimhakiki? Pengine anakutaka. he he he lol
HeeHakiamung aje uku tukeshe