Tatizo la umeme nani alaumiwe?

Tatizo la umeme nani alaumiwe?

EDOARDO

Senior Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
114
Reaction score
13
Wadau, kumekuwa na tatizo la umeme lililopindukia hapa Tanzania, kiasi cha kutia aibu. Haiwezekani nchi yenye rasilimali zote muhimu kwa ajili ya kuzalisha umeme kuwa na mgao wa saa 24. (Kuanzia saa mbili asubuhi siku ya kwanza, mpaka saa mbili asubuhi siku ya pili), tena kimyakimya. Lakini pia kuna kipindi serikali ilitangaza kuwa suala la mgao litakuwa ndoto. Hivi kweli tuko makini? Ok. nini kifanyike?
 
Kikubwa tumwambie shibuda hafute jarada la kumshitaki mhariri mkuu wa Tanzania daima makao makuu ya jeshi na Prof muhongo arudi kufundisha SA na tukiweza wananchi wenye mapenz na nchi hii kuvamia songa's nakuchapa wazungu wote na umeme utakuepo milelee......
 
Kikubwa tumwambie shibuda hafute jarada la kumshitaki mhariri mkuu wa Tanzania daima makao makuu ya jeshi na Prof muhongo arudi kufundisha SA na tukiweza wananchi wenye mapenz na nchi hii kuvamia songa's nakuchapa wazungu wote na umeme utakuepo milelee......

Hapana,Pr Muhongo anajitaidi kuweka mambo sawa,tatizo lipo kwa wale mafisadi wachache wanaoona mirija yao imekatwa ndiyo wanaohujuma umeme nchi hii ili ionekane Pr Muhongo kashindwa waandelee kula.
 
Yani hata hili hujuhi? Sasa unafanya nini duniani? Au ndio unaishi ili ule?
Huna tofauti ya yule asiuye jua chanzo cha umasikini.
 
Viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia maslai ya umma aijalishi kiongozi wa kitaifa au la... Kama unahusika kwa namna moja au nyingine kuhusu kusimamia mali ya umma kama shirika la umeme TNESCO... Unahusika katika Kulaumiwa.
 
Tulishalalamika kitambo wahusika wakuu wakatoa matamko itakua historia,SASA KAMA SHIDA ZILEZILE ZINAJIRUDIA WAKATI MKUU WA NCHI ALISHASEMA HAITATOKEA TENA BASI HATUNA CHA KUJADILI BILA KUITOA SERIKALI YAKE MADARAKANI KWANI MKUU ALIDANG'ANYA WENYE NCHI.
 
Tulaumiwe sisi wenyewe kwa kuwa wapole kupita kiasi, haiwezekani wajibinafsishie nchi yetu wao wenyewe na sisi tumebweteka tu
 
Lowassa + Richmond + CCM =MGAO WA UMEME.
ccm+kikwete=mgao.lowasa alitumwa na kikwete.angalia mfano mdogo.barabara ya namtumbo-tunduru walisitisha mkataba na wahindi.sasa kuna tetesi kuwa wahindi wameshinda kesi wanaludi mwezi wa tisa.toka lini muhindi ni mtaalamu wa barabara?
 
Viongoz wote maboga haiwezekani umeme ucwepo cku tatu mfululizo.....tunaokula kupitia umeme sasa tukale wapi??? Dawa yenu kuwang'oa madarakani....na cku mtanzania akiijua haki yake tutapigana na kuuana kuliko ilivyokuwa rwanda na burundi!
 
Back
Top Bottom