Tatizo la umeme katika nyumba

Luhomano

Member
May 1, 2020
57
32
Wakuu habari ya wakati huu naomba kuuliza swali kuhusu umeme.katika kuweka mfumo wa umeme katika nyumba nilimtafuta fundi akasuka system nzima kabla ya TANESCO hawajaniunganishia umeme kutoka kwenye nguzo kwenda kwenye nyumba sasa, baada ya kuunganisha kuna tatizo likatokea circuit breaker inajirudi baada ya kuwasha.

Lakini baada ya hapo nikamuita fundi tena akarekebisha lakini baada ya siku tatu tatizo limerudi palepale. Je wadau hapo tatizo litakuwa ni nini? Msaada tafadhali. Ahsante
 
Sababu hizi moja wapo ipo katika nyumba yako
1,kutumia kifaa kibovu mf.pasi nk
2,mfumo mbovu wa uugwaji wa waya alioufanya fundi
3,kuzidiwa kwa phase uliyounganishwa na tanesco lakini inategemea na mtaa husika
4,mfumo wa Eathing system kwenye mfumo wa umeme katika nyumba yako kuna shida mahali
Chunguza kwa makini izo sababu moja moja tafuta ufumbuzi,kama ni TANESCO wafuate watakubadilishia phase tatizo litaisha, kama ni mfumo tafuta fundi mpya na fumua anza upya.
 
Circuit breaker ikirudi maana yake umeme unazimika? Au unakuwa unawaka?
Chunguza wakati inajizima umewasha nini?
Kuna mtu alikuwa na lifriji bovu wakati wanaliunga unga likiwashwa tu umeme unajizima.
 
Kutatika kwa umeme kumegawanyika ktk aina mbili, auna ya kwanza NI kukatika na baada ya muda umarudi wenyewe na wala hakuna kitu kinachojizima ,ukiona hivi ujue Mita waliokuowekea ni ipo ktk mfumo huo yaani matumizi ya umeme yanapokuwa makubwa kwa mtaa mnaulumia na kunakuwa na overload hapo Mita hujizima yenyewe mpka umeme unapokaa sawa hizi NI baadh ya Mita tu, mnaweza mkaita Fundi weeeeee ikawa hawaoni tatizo , tatizo lingine NI ndani ya nyumba yako mwenyewe kuanzia vifaa unavyotumia nk sasa ww angalia umeme upokatika nn hutokea ? Kama kuna kifaa chochote hujizima tatizo lipo ndani kama hakuna kinachojizima tatizo lipo nje ya nyumba yako
 
Circuit breaker ikirudi maana yake umeme unazimika? Au unakuwa unawaka?
Chunguza wakati inajizima umewasha nini?
Kuna mtu alikuwa na lifriji bovu wakati wanaliunga unga likiwashwa tu umeme unajizima.
unazimika
 
mkuu mpaka sasa kifaa nilichotumia ni simu tu hakuna kingine
Kutatika kwa umeme kumegawanyika ktk aina mbili, auna ya kwanza NI kukatika na baada ya muda umarudi wenyewe na wala hakuna kitu kinachojizima ,ukiona hivi ujue Mita waliokuowekea ni ipo ktk mfumo huo yaani matumizi ya umeme yanapokuwa makubwa kwa mtaa mnaulumia na kunakuwa na overload hapo Mita hujizima yenyewe mpka umeme unapokaa sawa hizi NI baadh ya Mita tu, mnaweza mkaita Fundi weeeeee ikawa hawaoni tatizo , tatizo lingine NI ndani ya nyumba yako mwenyewe kuanzia vifaa unavyotumia nk sasa ww angalia umeme upokatika nn hutokea ? Kama kuna kifaa chochote hujizima tatizo lipo ndani kama hakuna kinachojizima tatizo lipo nje ya nyumba yako
 
Kama kuna mtu wa tanesco maeneo ya tegeta anipm nina shida ya kitaalam
 
Sababu hizi moja wapo ipo katika nyumba yako
1,kutumia kifaa kibovu mf.pasi nk
2,mfumo mbovu wa uugwaji wa waya alioufanya fundi
3,kuzidiwa kwa phase uliyounganishwa na tanesco lakini inategemea na mtaa husika
4,mfumo wa Eathing system kwenye mfumo wa umeme katika nyumba yako kuna shida mahali
Chunguza kwa makini izo sababu moja moja tafuta ufumbuzi,kama ni TANESCO wafuate watakubadilishia phase tatizo litaisha, kama ni mfumo tafuta fundi mpya na fumua anza upya.
Umemaliza asipokuelewa tena yeye mwenyewe umeme wake kichwani nao utakuwa na shida
 
Wakuu habari ya wakati huu naomba kuuliza swali kuhusu umeme.katika kuweka mfumo wa umeme katika nyumba nilimtafuta fundi akasuka system nzima kabla ya TANESCO hawajaniunganishia umeme kutoka kwenye nguzo kwenda kwenye nyumba sasa, baada ya kuunganisha kuna tatizo likatokea circuit breaker inajirudi baada ya kuwasha.

Lakini baada ya hapo nikamuita fundi tena akarekebisha lakini baada ya siku tatu tatizo limerudi palepale. Je wadau hapo tatizo litakuwa ni nini? Msaada tafadhali. Ahsante
Circuit breaker kuzima tatizo linaweza kuwa ni phase kubwa hapo hapo kwenye main switch aanzie hapo kwanza na baada ya hapo aanze kufuatilia njia moja baada ya nyingine.
 
Back
Top Bottom