Tatizo la Rangi kwenye Ngozi

Tatizo la Rangi kwenye Ngozi

Saulloson

Senior Member
Joined
May 25, 2012
Posts
103
Reaction score
35
Salaaam waungwana
Msaada Tafadhari;Nina tatizo kwenye ngozi ya mwili wangu,badhi ya maeneo yamepoteza rangi yake yamekuwq na rangi mpaka nywele nazo zimekua kama zimewekwa breach.Kuna daktari wa ngozi nilienda kumuona aliniambiq ni shida ya cell zinazosaidia kutengeneza ngozi,hivyo nisihangaike kutibu kitu ambacho sidhani kama niliridhia .Hivyo basi nimekuja mbele yenu kama kuna mtu anajua ni nini sababu na Tiba msaada tafadhari.
chini ni picha zinazoonyesha jinsi ngozi ilivyo kwa sasa
IMG_20191018_143746_2.jpeg
IMG_20191018_143737_6.jpeg
IMG_20191018_143759_8.jpeg
IMG_20191018_143644_6.jpeg
 
Back
Top Bottom