Tatizo la pin kwenye tecno H6, naomba msaada

Tatizo la pin kwenye tecno H6, naomba msaada

Zima simu kisha bonya kwa pamoja power on na volume up itakuja menyu kuna sehemu pameandikwa erase all data au ni sawa na hard reset bonya hapo
 
Hachana na hzo cm za promotion, cm ni I phone tu ndy bora Dunian .
 
Kama tatizo lako ni hili.... Jiandae kisaikolojia.

Privacy_protection_password_unlock.jpg

Ukishindwa kabisa nitafute na tsh 30 elfu. La sivyo utaiacha kwa mafundi...
 
Hachana na hzo cm za promotion, cm ni I phone tu ndy bora Dunian .

Hizo simu nimetumia miaka saba za aina mbalimbali lakini nimeona ni za kawaida sana kwanza chaji ni majanga sasa hivi Nina tecno L6 inakaa na chaji siku tatu hapo umeingia jf,fb,tweeter,Instagram, WhatsApp lakini unadunda tu na iPhone yangu ikikata chaji naibust kwa kutumia hiyo simu
 
Wadau mnanitisha mimi pia nna mpango wa kununua tecno h6.kama mambo ndo haya mnanishaurije wakuu???.saada tafadhali
 
Wadau mnanitisha mimi pia nna mpango wa kununua tecno h6.kama mambo ndo haya mnanishaurije wakuu???.saada tafadhali

Matatizo kama haya ni ya kawaida sana kwenye simu wala yasikutishe coz tecno wana customer care ya kueleweka tofauti na Huawei
 
Ukiwa na uelewa mdogo kwa jambo fulani usijifanye mjuaji. Alichoomba mtoa mada ni msaada na sio kusema simu fulani ndio nzuri na blaa blaa kibao.
Kwako mtoa huu uzi hilo sio tatizo sana ni Pm tumaluze hio ishu.
 
Back
Top Bottom