blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,268
- 1,138
Habari wataalamu
Poleni na hongera katika majukumu yenu yakila siku
Wakuu naomba kujuzwa ni nini hasa sababu na suluhisho la tatizo langu hili lililonianza wiki ya Pili sasa.
Wakuu nimekua nikipata maumivu ya kawaida sio Makalu sana katika misuli ya mapaja ,huwa inakua kama inapata joto lakini pia ikiuma kwa mbaali haswa ninapokua nimekaa ,Ila nikiwa natembea hainiletei maumivu.
Lakini pia mimi ni mtu wakufanya mazoezi HOME WORKOUT kwa wiki Mara 4
Nawasilisha tafadhali.
Poleni na hongera katika majukumu yenu yakila siku
Wakuu naomba kujuzwa ni nini hasa sababu na suluhisho la tatizo langu hili lililonianza wiki ya Pili sasa.
Wakuu nimekua nikipata maumivu ya kawaida sio Makalu sana katika misuli ya mapaja ,huwa inakua kama inapata joto lakini pia ikiuma kwa mbaali haswa ninapokua nimekaa ,Ila nikiwa natembea hainiletei maumivu.
Lakini pia mimi ni mtu wakufanya mazoezi HOME WORKOUT kwa wiki Mara 4
Nawasilisha tafadhali.