makutopora
Member
- Dec 23, 2014
- 28
- 12
Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821
Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821
Mgombea Urais Mliyejitutumua Kujipendekeza Kwake Anajua Kuwa Watumwa Wake Mna Siku Kadhaa Sasa HAMJAOGA? Hapa Ndipo Mmedhihirisha Kuwa Kweli Nyie Ni Wasomi Wa BRN Pure. Nyie Badala Mumwombe Hela Ya Msaada Atatue Matatizo Yenu Lukuki Yanayowakabili Mlikuwa Mnashikilia Tu Yale Mabango Sasa Kamueni Hayo Mabango Yenu Hadi Yatoe Maji Na Muweze Kujiswafi.
Huyo mgombea ndiye mwenye mamlaka au waziri wa maji?
Walipojipendekeza Kwake Kama Siyo Kujikomba Kwake Kwanini Hawakumlilia Shida Awajengee Visima Vya Maji? Huna Hoja Kaa Kimya.
Mkuu nimeuliza swali mbona sijatoa hoja? sawa mkuu unayejua kujibu.
Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821[/QUOTE
hela za kumchangia lowasa kuchukua form ya urais mnazo leo mnalalamika hiz division five hizi ni shida
acha kua na akili za kushikiliwa ww, unadhani kila m2 ni mfuasi wa lowassa hapa chuo, kwa hyo hizo unazoziita pesa za form ya urais ndo zingemaliza shida ya maji? acha ubichwa maji huo??Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821[/QUOTE
hela za kumchangia lowasa kuchukua form ya urais mnazo leo mnalalamika hiz division five hizi ni shida
Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821
Kubandika malalamiko kwenye platform kama hii haikusaidii kitu hata kidogo,kila siku nawambia msipojitambua mtaishi kama nguruwe pori na mmeanza hayo maisha ya nguruwe.Uwoga wenu na kujipendekeza kwa watawala ndo malipo yake.Nachokiamini kama mngejitambua hata kwa sekunde moja UDOM ingebadilika pakubwa.
SILAHA YA MNYOMGE NI UMOJA.