Kati ya mahitaji ya msingi kabisa Kwa binadamu ni maji, hivi kwenye karne hii bado maji ni tatizo? tena hapa mjini..hii no aibu Kwa viongozi.
Wananchi wa Dar wapole kama maji mtungini wala hatulalamiki ila tunasema tu
Mi nilishasahau kabisa khs maji ya DAWASCO.
Tunaoga ya Kisima, tunakunywa UHAI maisha yanaenda