Maji kwetu hutolewa mara DAWASCO wanapojisikia na inavyowapendeza. Mwezi huu tumepata maji mara moja na nusu. Ile ya kwanza yalitoka kwa dakika takriban 50' na baada ya wiki mbili na nusu wiki iliyopita yakatoka kwa dakika kama 20 na kwa pressure kama vile mtu anapomalizia kukojoa mkojo wa mwisho. Tatizo hili ni bahati mbaya au makusudi? Kwa wale wenye visimi vya maji biashara wanafanya kweli! Hapo hakuna syndication kweli?
Tangu nilipowasilisha, hatujapata maji tena. Walileta bill yao nidhani nikilipa wataanza kutoa maji kila siku. jana nilimuona Waziri wa Maji anasherehekea wiki ya Kutokuwa na maji, kwa hakika maji si mahitaji ya msingi
Tangu nilipowasilisha, hatujapata maji tena. Walileta bill yao nidhani nikilipa wataanza kutoa maji kila siku. jana nilimuona Waziri wa Maji anasherehekea wiki ya Kutokuwa na maji, kwa hakika maji si mahitaji ya msingi