Tatizo la Maji Manispaa ya Bukoba (Mjini)

Tatizo la Maji Manispaa ya Bukoba (Mjini)

Nel Nelson

Senior Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
154
Reaction score
43
Leo ni siku ya 3 hakuna maji katika maeneo ya kata ya Rwamishenye na BUWASA wamekaa kimya kana kwamba hapo ofisini hakuna wahusika kitu kinachosababisha usumbufu mkubwa kwa raia, kwa maana dumu moja la maji mpaka leo linauzwa kwa Tsh: 1,000/= jaribu kufikiri kwa mtu mwenye familia ya watu 10 wakiwemo watoto anahitaji shilingi ngapi ili kuweza kumudu hiyo gharama? TUNATESENA....
 
Ziwa lote hilo na mto mkubwa unaokatisha mji wa Bukoba bado hamna maji??
 
Back
Top Bottom