namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Wadau nadhani maji ndo kila kitu kwa Maisha ya wana wa damu. Maeneo ya Buhongwa hasa Kageye kuna tatizo kubwa la maji yaani kwa mwezi yanatoka dk 10 tu. Cha ajabu bill za mwezi zinatoka tu.
Wadau hii imekaaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau hii imekaaje?
Sent using Jamii Forums mobile app