Maho gel
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 308
- 99
Jamani nimeshawahi kuwa katika uhusiano mwaka uliopita na mvulana mmoja ambaye nilimpenda sana , Lakini kuna siku aliniazima simu yake ndipo nilipoziona meseji ambazo alikuwa anachat na ex gel friend wake.
Walikuwa wakinijadili wakati huo alisema ameshaachana naye mfano, huyu mvulana alikua anamwambia kwamba kuna huyu msichana ananipenda sana na kati mi sina muda naye, anajipendekeza kwangu , mi sina muda nae n.k.
Nilishindwa kuvumilia sababu the way nilivokuwa nampenda niliumia sana basi nkaamua kuachana naye. Ninapata shida sana kuwa katika mahusiano kwani sibahatiki kumpenda mtu.
Na hata nikimpenda basi naweza kuamua kuwa nae lakini nikimkumbuka yule guy wa kwanza alivonifanyia na jinsi nilivompenda naamua nisikubali kuwa na mtu huyo?
Nifanyej ili nirudi katika hali yangu ya kawaida ?
Walikuwa wakinijadili wakati huo alisema ameshaachana naye mfano, huyu mvulana alikua anamwambia kwamba kuna huyu msichana ananipenda sana na kati mi sina muda naye, anajipendekeza kwangu , mi sina muda nae n.k.
Nilishindwa kuvumilia sababu the way nilivokuwa nampenda niliumia sana basi nkaamua kuachana naye. Ninapata shida sana kuwa katika mahusiano kwani sibahatiki kumpenda mtu.
Na hata nikimpenda basi naweza kuamua kuwa nae lakini nikimkumbuka yule guy wa kwanza alivonifanyia na jinsi nilivompenda naamua nisikubali kuwa na mtu huyo?
Nifanyej ili nirudi katika hali yangu ya kawaida ?