Huo ufala ulinipata nikiwa form 3 aisee acha kabisa.
Chanzo nilinunua boxer za mpira Ubungo pale. Zile boxer zilinisababishia hayo matatizo kende zikawa na rangi ya kungu flani na wingu jeusi jeusi usipime hayo maumivu yake. Ilikuwa class sikai halafu kipindi cha joto yanawasha kinoma
Likizo nilikuja nikapata cream na nikabadili boxers na kununua za cotton nikapona. Tangu na hapo sijawahi kulipata tena hilo gonjwa.
Nilikuwa Santana kwa mudaππππππkama nakuona vile Mkuu umesepa darasani umejificha mahali unakuna pumbu kwa raha zako huku macho yakiwa busy kulinda usalama wa eneo. π€£π€£
Hahahaaa pumbu zina kasheshe kuliko moto wa milele aisee hii kalikwa kifupi wakisema tukifa adhabu ya waovu ni kuumwa pumbu erosion naanza kusali sasa hivi
πππππNa gitaa lako kwa raha zako π
Dawa gani ulitumia?ukinipata mwezi wa 3 tu hapo....
Me nkaupotezea, usiku napiga gitaa hadi ngozi yote inatoka korodani znabak na ngo nyekundu kama inataka kutoa damu hivi... Nliacha tu maana hujaga na kupona wenyewe,
Kilichonikuta sasa kilinikimbiz pharamcy kununua cream ya kupaka.. Ilikua hivia bwana..
Nilienda bafun kuog sasa kila nkitafuta sabuni siioni, na nina haraka sana, nkatafta tafuta wapi, nkaona isiwe shida acha niogee ya unga...
Dk 2 mbele naanza kuhisi kama nachanwa chanwa na viwembe katika korodani, maumivu yake hakika ni kama zmekatwa na kunyofolewa kabisa..
Sio raggae sio kiduku vyote nilicheza... Ilipopoa chaap nko pgamacy siamini kama mzima
Dawa gani ulitumia?
Ila huu ugonjwa wakati unajikuna ni rahaaaa utamu nyie acheni tu. Pond boys Minaki kwa Jokate asalaam aleikum
Kwa Tanzania mwaka 2004 hakukuwa na boxers, tulikuwa tunavaa chupi zikiitwa kosti!! Katikati kuna kauzi kembambaaaa!! Boxers nakumbuka zimeingia miaka ya 2007 kama sikoseiSikua tanzania
mlikua mnavaa bikiniKwa Tanzania mwaka 2004 hakukuwa na boxers, tulikuwa tunavaa chupi zikiitwa kosti!! Katikati kuna kauzi kembambaaaa!! Boxers nakumbuka zimeingia miaka ya 2007 kama sikosei
Solution yake ni nn?Umenitesa miaka mitatu huu ugonjwa babae,nilikuwa nikivaa jinsi ni mateso likigusa tu mbupu ni maumivu makali natembea kama nna matege
Chuo hii kitu imenitesa sana nilinunuaga dawa inaitwa whitefields daah sasa ukioga pumbu linatoka ngozi ya juu juu inabaki ile ya ndani.yaani km fundi anavoziba pancha anasugua tairi ili apake dawa azibe sasa ndoivo inavokuwa.maumivu yake sio ya kitoto.yaani nilikuwa nikipaka naruka ruka na kuwasha feni huku mlango ukiwa umefungwa maana akija mtu ni aibu