Tatizo la laptop kujizima naomba msaada

Tatizo la laptop kujizima naomba msaada

AfricaUnited

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2010
Posts
2,417
Reaction score
1,389
Msaada waungwana, toshiba laptop yangu imezima kabisa baada ya kuchomeka USB wakati nachaji simu, msaada maana hata dalili ya taa moja hakuna.
 
Mkuu ina maana hata ile taa ya kuonyesha charge kuingia ukichomeka adopter haiwak?
 
Mda ule una unachomeka, usb ndo uliaharibu mambo..

jarbu kuchomoa betri afu uweke tena! or badilisha adapter azima hata kwa jiran.

if the problem persist dont hesitate to to see, a computer hardware technician, may be kuna kitu kimeungua..

note: ni kama haiwaki kbisaa, ila kama inajizima kama ulivodai kwa heading yako it means inajiwasha litakua ni software issue na waweza pata msaada hapahapa.
 
Mda ule una unachomeka, usb ndo uliaharibu mambo..

jarbu kuchomoa betri afu uweke tena! or badilisha adapter azima hata kwa jiran.

if the problem persist dont hesitate to to see, a computer hardware technician, may be kuna kitu kimeungua..

note: ni kama haiwaki kbisaa, ila kama inajizima kama ulivodai kwa heading yako it means inajiwasha litakua ni software issue na waweza pata msaada hapahapa.

imezima kabiaa yaani.nipo kwa fundi ilala machinga complex kwa fundi.anadai eti anaashaangaa pc haina feni..toshiba gam hain fen
 
Tatizo kama langu mkuu. Acer yangu ilizima juzi ghafra na hata nikicconnect kwenye power bado haioneshi hata taa ya chaji...
 
imezima kabiaa yaani.nipo kwa fundi ilala machinga complex kwa fundi.anadai eti anaashaangaa pc haina feni..toshiba gam hain fen
Mh Sidhani kama kuna laptop/PC isiyo na cooling system?
huyo fundi ni Kanjanja au umelizwa na jamaa zako.
 
Mh Sidhani kama kuna laptop/PC isiyo na cooling system?
huyo fundi ni Kanjanja au umelizwa na jamaa zako.

sijawah mpa pc fundi wala mtu wangu wa,karibu.nimekaa chuo juzi tu ndio limetokea tatizo.nakomaa na fundi.huyu atakuwa mjanja
 
Tatizo kama langu mkuu. Acer yangu ilizima juzi ghafra na hata nikicconnect kwenye power bado haioneshi hata taa ya chaji...

mkuu imekuwaje.umepeleka kwa fundi.mi pc yangu mpya .ina,miez 9 tu
 
Tafuta mtaalam anayejua mambo ya computer mwenyewe toshiba ilizima ghafla ikawa haiwaki mpaka utoe betri then urudishe ndo iwake nilivyopeleka kwa fundi tatizo ilikuwa window ikabidi niipige chini now ipo okay
 
tatizo dogo sana hili na linatatulika paspo gharamayeyote ni wewe tu angalia vzr imetengenezwa wapi wapigie simu na uache kusumbua watu
 
Msaada waungwana, toshiba laptop yangu imezima kabisa baada ya kuchomeka USB wakati nachaji simu, msaada maana hata dalili ya taa moja hakuna.
Tafuta mtaalam wa komputer karibu akusaidie ,matatizo mengine ni vizuri mtu aone hiyo laptop.Kwa kuambiwa na watu usio nao physically unaweza fanya ukasababisha matatizo makubwa zaidi.
 
imezima kabiaa yaani.nipo kwa fundi ilala machinga complex kwa fundi.anadai eti anaashaangaa pc haina feni..toshiba gam hain fen

Daah pole sana huyo fundi kajanja hamna pc isiyo na feni 😡
Inawezekana charging system imeungua kwa maana hiyo hutaona taa yoyote maana power is down
 
Kutojua vitu nikuibiwa, hakuna computer bila fan, pale machinga kanjanja wengi, ungekuja humu tukuelekeze mafundi salama. Pale wananunuaga spare watch out
 
Kutojua vitu nikuibiwa, hakuna computer bila fan, pale machinga kanjanja wengi, ungekuja humu tukuelekeze mafundi salama. Pale wananunuaga spare watch out

mkuu.naomb nip namba za fundi wako basi
 
Back
Top Bottom