The comeback maestro
New Member
- Jan 26, 2022
- 2
- 6
Kote luku haipatikaniHabarini za mchana wana jf....hivi ni mimi peke yangu napata shida ya kununua umeme au ni tatizo na kwa wengine?nimekua nikihangaika kununua umeme tangu asubuhi lakini naambiwa mpokeaji amefungiw(airtel) na muamala wako haukukamilika(tigo)..msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu juu ya hilo.
Tanesco walshaisema mapema nunueni umeme mwingi msimu huu kutakuwa na shida ununuzi wa LukuTangu asubuhi Luku haipatikani kuna tatizo gani?
Tangazo wametoa saa tatu tatizo limeanza saa saa moja asubuhi
Nioneshe hilo tangazo laoTanesco walshaisema mapema nunueni umeme mwingi msimu huu kutakuwa na shida ununuzi wa Luku
Umetumia mtandao kununua?Dodoma imeanza kukubali nimefanikiwa kununua
TigoUmetumia mtandao kununua?
Mm bado inazinguaTigo
Mapema saa ngapiMbona tangazo lilitoka mapema sana
wapi walisema? any document?Tanesco walshaisema mapema nunueni umeme mwingi msimu huu kutakuwa na shida ununuzi wa Luku