Tatizo La Keyboard Kwenye Bios Ya HP Desktop

Tatizo La Keyboard Kwenye Bios Ya HP Desktop

Lawrichie

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
879
Reaction score
2,451
Kwema huku wadau wa masuala ya teknolojia? Poleni kwa majukumu na jitihada za kujikinga dhidi ya covid 19. Nina tatizo dogo naamini mtanisaidia maana humu kuna wataalamu wengi tu wa IT.

Kuna Desktop ya HP imeletwa ofisini inawakia kwenye CD ROM. Na ni mpaka uchomoe USB zote ndio iwake. Nikaenda kwenye BIOS Setting vizuri ili nibadilishe Boot Order iwe kwenye Hard Drive ili iwake kawaida lakini keyboard baadhi ya batani muhimu hazifanyi kazi. Mf. key arrows zinafanya lakini ukitaka ku-enter ili kubadilisha setting, enter haifanyi kazi. USB front port ziko off ukitaka kuziruhusu ziwake haiwezekani maana enter key haifanyi kazi.

Nimejaribu kupekua mitandaoni kama nitapata solution lakini hakuna cha maana. Naombeni msaada wenu wakuu katika hili... Naamini kuna wataalamu wengi tu humu.

Ahsanteni na karibuni.
 
Hili ndio tatizo lako?

keyboard baadhi ya batani muhimu hazifanyi kazi. Mf. key arrows zinafanya lakini ukitaka ku-enter ili kubadilisha setting, enter haifanyi kazi
 
Umejaribu kusoma maelezo kwenye bios? Si0 lazima itumie arrows na Enter, mfano kwangu inatumia + na - kuchange boot order na F10 kama sijakosea kusave na exit. Soma maelekezo kwa chini.
 
Umejaribu kusoma maelezo kwenye bios? Si0 lazima itumie arrows na Enter, mfano kwangu inatumia + na - kuchange boot order na F10 kama sijakosea kusave na exit. Soma maelekezo kwa chini.

Kwangu ni Key arrows na enter=drop... Hata hizo + - nimejaribu hazifanyi kazi...
 
Kwangu ni Key arrows na enter=drop... Hata hizo + - nimejaribu hazifanyi kazi...
Njia nyengine sio soulution ila inaweza kuwa alternative, toa cmos battery ili bios zi reset, inaweza pia kureset boot order.
 
Njia nyengine sio soulution ila inaweza kuwa alternative, toa cmos battery ili bios zi reset, inaweza pia kureset boot order.

Sawa ahasante.. ngoja nijaribu hii njia maana sikuifikiria kabla
 
nahisi hiyo pc iko na password wewe unaingia km guest ndo maana
hp ukuruhusu kuingia setting lkn huwezi fanya change yoyote ndo mana enter inagoma kufanya change 7bu hiyo keyobaod ipo na enter mbili isingeweza kukataa zote
cha kufanya km ni zile old version toa CMOS BATTERY chomoa power cable kaa km sekunde 30 au dkk 1 then rudisha CMOS BATTERY washa PC then itakuwa imeji defaurt setting password itatoka na vingne vitakuwa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nahisi hiyo pc iko na password wewe unaingia km guest ndo maana hp ukuruhusu kuingia setting lkn huwezi fanya change yoyote ndo enter inagoma 7bu hiyo keyobaod ipo na enter mbili
cha kufanya km ni zile old version toa CMOS BATTERY chomoa power cable kaa km sekunde 30 au dkk 1 then rudisha CMOS BATTERY washa PC then itakuwa imeji defaurt setting password itatoka na vingne vitakuwa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukrani sana...
 
Back
Top Bottom