tatizo la kamera Nokia N8

vanmedy

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
2,698
1,395
habari wakuu... Ebwana haka kajisimu kangu ilikuwa ghafla tu camera ya nyuma inagoma kugonga picha... "'ni kwamba ukiclick camera icon inafunguka na kubakisha rangi nyeusi tupu bila lens ya camera kuonekana''' nimegoogle nikagundua ni tatizo la hizi simu ila sijapata exact solution ya hili tatizo... Naombeni michango yenu kimawazo wadau KABLA FUNDI HAJAENDA KUNIIBIA SENTE ZANGU
copy to chief-mkwawa mzee wa nokia
 
Last edited by a moderator:
ndio unafunguka then inaonekana rangi nyeusi tii..bila kile kilenzi kuonekana ''kwa maana kamefichwa na ile layer nyeusi iliyojitokeza''
 
mkuu limekaa kama tatizo la hardware kuna mshkaji humu alikua na e72 yake ilikua akipress camera haifunguki kabisa unaweza pitia hio thread

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...aada-nokia-e72-anayejua-naomba-anisaidie.html

pia kuna hardware assistance japo ngumu ila unaweza mwelekeza fundi wako.

nokia n8 Black camera [Archive] - GSM-Forum

sema mkuu ushaur wangu hapo link ya 2.

-anza na software trouble shoot zote zilizopo kwenye hio link (kama camera ya mbele na kurekodi video ili kuona sauti inatoka na nyenginezo) then ikikataa ndo ufanye ishu za hardware
 
mkuu limekaa kama tatizo la hardware kuna mshkaji humu alikua na e72 yake ilikua akipress camera haifunguki kabisa unaweza pitia hio thread

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...aada-nokia-e72-anayejua-naomba-anisaidie.html

pia kuna hardware assistance japo ngumu ila unaweza mwelekeza fundi wako.

nokia n8 Black camera [Archive] - GSM-Forum

sema mkuu ushaur wangu hapo link ya 2.

-anza na software trouble shoot zote zilizopo kwenye hio link (kama camera ya mbele na kurekodi video ili kuona sauti inatoka na nyenginezo) then ikikataa ndo ufanye ishu za hardware

thanks mkuu,.. I've googled before hadi nkapata link ya ku'upgrade camera BAHATI MBAYA ZONASUPPORT ANNA hii yangu ipo upgraded to belle refresh.. Tomorow nakuja dar ntajaribu kuidowngrade to symbian anna...halafu ni'update camera settings... daah hii simu nliihitaji kwa matumizi ya camera halafu ndio ishajitia wazimu
 
natumia n8,tumia tu ovisuite kuupdate to belle nikama mb 300 hivi ikikataa inaweza kuwa tatizo ni hardware.
 
Back
Top Bottom