KEMPANJU BOY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 508
- 1,255
Jamani nyie Tigo sasa nimechoka kazi nyie kuandika 4g hivi si bora iwe 2g inayofanya kazi kuliko huu ujinga?
Yaani kwa siku internet yenu inafanya kazi lisaa limoja tu! Ikifika usiku ndiyo sasa inakuwa shida, tunachoka sasa kuwavumilia.
Yaani kwa siku internet yenu inafanya kazi lisaa limoja tu! Ikifika usiku ndiyo sasa inakuwa shida, tunachoka sasa kuwavumilia.