Tatizo la foleni Morogoro road

Tatizo la foleni Morogoro road

mikunde

Member
Joined
Jan 25, 2011
Posts
14
Reaction score
7
Ujenzi unaoendelea ktk barabara hii umezidi kusababisha foleni Sijui wahusika wako wapi.kwanini ujenzi usifanyika usiku. gari inamwangilia maua du tanzania inasikitisha na kukatisha tamaa. Wahusika tusaidieni
 
Usione vyaelea ndugu.....!!! We ulitaka ulale na kuamka barabara imekamilika? Kila kizuri kina changamoto zake si kulaumu tu kwa kila jambo! Vumilia
 
Aliyekuambia ni mambo mazuri ni yapi.subiri mbongo atakapopewa tenda ya basi halafu ubungo junction utapita vipi na kimara mwisho bado ni single lane.acha siasa hatupo serious maneno mengi hata jirani zetu wanasema
 
Wahusika gani unauliza zaidi ya hao wanaojenga? Hata hivyo mbona hivi sasa kuna nafuu sana ukilinganisha na miezi ya mwanzoni mwa mwaka huu
 
Ujenzi unaoendelea ktk barabara hii umezidi kusababisha foleni Sijui wahusika wako wapi.kwanini ujenzi usifanyika usiku. gari inamwangilia maua du tanzania inasikitisha na kukatisha tamaa. Wahusika tusaidieni

Mijitu mingine mipimbi kweli kweli, huna shukrani ww kichwa km mkunde, Morogoro road kwa sasa foleni imepungua kwa 70%, mimi naishi Kimara, zamani kabla hsijaanza kujengwa nilikuwa natoka kimara 0630hrs nafika posta 0830hrd, lakini kwa sasa natoka 0730hrs nafika the same time. Tuache ulalamishi kwa ila kit. Nina uhakika ulieleta post hii ni mgeni na hii barabara.
 
Its true folen kwasasa imepungua kidogo ukilinganisha na kipndi cha nyuma. May b mtoa mada haitumii morogoro road daily
 
Ujenzi unaoendelea ktk barabara hii umezidi kusababisha foleni Sijui wahusika wako wapi.kwanini ujenzi usifanyika usiku. gari inamwangilia maua du tanzania inasikitisha na kukatisha tamaa. Wahusika tusaidieni
Rudi Kijijini ulipotoka huko hakuna foleni.
 
Its true folen kwasasa imepungua kidogo ukilinganisha na kipndi cha nyuma. May b mtoa mada haitumii morogoro road daily



Kuna mawili; huenda kaingia jijini hivi karibuni au kajiunga na JF karibuni
 
Its true folen kwasasa imepungua kidogo ukilinganisha na kipndi cha nyuma. May b mtoa mada haitumii morogoro road daily

Huyu mgeni na hii barabara watu tulikua tunako Mbezi saa 5 : 45 na posta tunaingia 7 : 50 leo mbona tunapumua.
 
Back
Top Bottom