Mkulubilanga
Member
- Sep 23, 2013
- 40
- 16
Ndugu waungwana nina kisimu changu cha mchina (HUAWEI Y300-0100}kinanitesa nami uwezo wangu wa kumiliki cm nadhani umekomea hapo kwa sasa kwani ningekuwa na uwezo zaidi ningeshnunua nyingine.
Mateso yenyewe nikama haya yafuatoyo:
(1) Nikipiga au kupigiwa baada ya kuanza mazungumzo kama sec 3 hivi mic inakata mpaka nikate CM na npigiwe au nipige tena naweza kufanya hivyo zaidi ya mara 3 au 4, then inaweza ikatokea nikaongea vizuri mpaka mwisho wakati mwingine inakuwa shwari napiga na pigiwa lakini inakuwa mara chache.
(2) Wakati ninapotaka kupiga au kupokea,kusoma kuandika msg ,e mails inatokea msg mfano; whattsapp is'nt respond you want to close it nikiweka ok inakuja nyingine ya labda viber au google zinaweza kuja hata 10 mfululizo na uwezi piga au kuandika chochote mpaka hiyo miujumbe isimame sasa hayo jamani si mateso bila chuki nishabadilisa mic mara 3 naambiwa kuna fall lakubaiisha lakini Sijui linapatikanaje nisiadieni :help:waungwana nimepata solution 1 ni kuondoa whattapp au viber hivyo nimeondoa viber iko safii lakini na hiyo viber naitaji sana sasa solution ya 2 naambiwa niidownload viber kwenye sd card hiyo sifahamu naomba maelekezo au kurekebisha hilo missing fail nayo sifahamu vilevile.
Mateso yenyewe nikama haya yafuatoyo:
(1) Nikipiga au kupigiwa baada ya kuanza mazungumzo kama sec 3 hivi mic inakata mpaka nikate CM na npigiwe au nipige tena naweza kufanya hivyo zaidi ya mara 3 au 4, then inaweza ikatokea nikaongea vizuri mpaka mwisho wakati mwingine inakuwa shwari napiga na pigiwa lakini inakuwa mara chache.
(2) Wakati ninapotaka kupiga au kupokea,kusoma kuandika msg ,e mails inatokea msg mfano; whattsapp is'nt respond you want to close it nikiweka ok inakuja nyingine ya labda viber au google zinaweza kuja hata 10 mfululizo na uwezi piga au kuandika chochote mpaka hiyo miujumbe isimame sasa hayo jamani si mateso bila chuki nishabadilisa mic mara 3 naambiwa kuna fall lakubaiisha lakini Sijui linapatikanaje nisiadieni :help:waungwana nimepata solution 1 ni kuondoa whattapp au viber hivyo nimeondoa viber iko safii lakini na hiyo viber naitaji sana sasa solution ya 2 naambiwa niidownload viber kwenye sd card hiyo sifahamu naomba maelekezo au kurekebisha hilo missing fail nayo sifahamu vilevile.