Tatizo Kwa ma-ex zangu

Tatizo Kwa ma-ex zangu

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,756
Reaction score
31,117
Sijui ni nini kinawakuta hawa ma-ex zangu baada ya kuachana nami wanakongoroka na kuwa hoiii kabisa.Yani full eroded/degraded, mpaka wanatia huruma.



'Kaka yake na Demiss hapa'
 
Ukishawapa virus uwaambie ili waanze dawa mapema usiwaache blinded
Sijaathirika mkuu,nipo ok kabisaaaa 100%.Nahisi wanakuja kosa real love waliyokuwa wanapata labda.Ila kiafya me mzima
 
SASA WEWE UNAJIJUA UMEATHIRIKA UNATEGEMEA UKIWAACHA WAPENDEZE WAKATI HUWAACHII arv
Sijaathirika mkuu,nipo ok kabisaaaa 100%.Nahisi wanakuja kosa real love waliyokuwa wanapata labda.Ila kiafya me mzima
 
Una Hiv waambie waka pime
naijatwittersavages-20190619-0001.jpeg
 
Back
Top Bottom