johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Yaani Wananchi wakielezwa Kwanini Dr Kalemani hakuleta mgao wa Umeme na Dr Biteko ameleta mgao wa Umeme basi wataendelea kuwa wavumilivu
Wanachojiuliza ni Kwanini yule aliweza na Huyu anashindwa wakati Mvua ni nyingi?
I wish you a Merry Christmas!
Wanachojiuliza ni Kwanini yule aliweza na Huyu anashindwa wakati Mvua ni nyingi?
I wish you a Merry Christmas!