Tathimini ya utawala wa Magufuli

Tathimini ya utawala wa Magufuli

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,953
Reaction score
3,449
tathimini nilioifanya miezi mi Tatu sasa inaonesha utawala wa Magufuli ni utawala dhaifu na unaoweza kuanguka wakati wowote

Nimepita mikoa kadhaa mwanza, geita, Dodoma, Morogoro, pwani, Tabora, Iringa na mtwara nimebaini yafuatayo

1. Watu wanachuki na uonevu na manyanyasho yanayofanywa na serikali
2. Watu wamechoka na kukerwa na kutumbuana (nahisi ndo mana Kiki za hivi zimepungua)
3. Watu wamechoka Sifa na matamshi yasiyo na tija
4. Watu wanahasira na Mkuu na mwanae bashite
5. Watu wanaomba Mungu chochote kitokee ili wakianzishe


Nikajiuliza kwanini wanataka wakinukishe wakasema
1. TRA
2. Ajira
3. Watoto wao kukosa mikopo
4. Ugumu wa maisha
5. Ubaguzo na Hali ya kutaka kulipa kisasi

Conclusion and recommendation
Mzee badilisha mbinu ya utawala fanya kama ulivyoanza miezi 6 ya kwanza
Usiongee sana ama kujibizana sana na kila comment zingine ignore
Acha kuongea sana fanya sana
Usiwe mkali unapokutana na negative opinion
Mpigie kikwete simu at least kwa wiki Mara 3 akupe ujanja

Kumbuka watu wanatafuta sababu ya kufa utawauwa wangapi mfano ndugu za waliookotwa kwenye kiroba wanataka kulipa kisasi
Ndugu wa waliookotwa koko beach nao roho ziko juujuu
Ukoo wa akina azory wana hasira Hawa Sijui nisemeje yaani nchi inawaka moto kwa ndani


Mzee dawa ya Hawa watu wape fedha achia fedha wasahau ugumu wa maisha lasivo chanzo chochote kile kikitokea usishangae nchi ikawaka moto
 
Thread kama hizi moderators wa jf kicheko lakini za wazalendo wanazinyonga kwelikweli, haya uwanja wenu huu lakini
 
Mwaga pesa mtaani tu, matatizo yote watu nasahau kabisa
 
Subiri tu hiyo tarehe 26, ni masaa tu yamebaki! Kama itakuwa ni pororojo, basi mtaleta hizi thread zenu.
Huoni polisi walivyopewa kibarua cha kuandamana mafuta yamejaa askari wako standby wake zao wamelala wenyewe haha hata bila maandamano wamewaweza
 
Thread kama hizi moderators wa jf kicheko lakini za wazalendo wanazinyonga kwelikweli, haya uwanja wenu huu lakini
Uzi unachekesha ungekuwa ukoo wa Azory usingesema hayo maneno yako
 
Dunia ya sasa hulazimishi watu!Matango pori dunia ya sasa ukila ni uzembe wako tu!Wakoromije hawajui hiyo kitu. Hii nchi mnataka kuiharibu.
 
tathimini nilioifanya miezi mi Tatu sasa inaonesha utawala wa Magufuli ni utawala dhaifu na unaoweza kuanguka wakati wowote

Nimepita mikoa kadhaa mwanza, geita, Dodoma, Morogoro, pwani, Tabora, Iringa na mtwara nimebaini yafuatayo

1. Watu wanachuki na uonevu na manyanyasho yanayofanywa na serikali
2. Watu wamechoka na kukerwa na kutumbuana (nahisi ndo mana Kiki za hivi zimepungua)
3. Watu wamechoka Sifa na matamshi yasiyo na tija
4. Watu wanahasira na Mkuu na mwanae bashite
5. Watu wanaomba Mungu chochote kitokee ili wakianzishe


Nikajiuliza kwanini wanataka wakinukishe wakasema
1. TRA
2. Ajira
3. Watoto wao kukosa mikopo
4. Ugumu wa maisha
5. Ubaguzo na Hali ya kutaka kulipa kisasi

Conclusion and recommendation
Mzee badilisha mbinu ya utawala fanya kama ulivyoanza miezi 6 ya kwanza
Usiongee sana ama kujibizana sana na kila comment zingine ignore
Acha kuongea sana fanya sana
Usiwe mkali unapokutana na negative opinion
Mpigie kikwete simu at least kwa wiki Mara 3 akupe ujanja

Kumbuka watu wanatafuta sababu ya kufa utawauwa wangapi mfano ndugu za waliookotwa kwenye kiroba wanataka kulipa kisasi
Ndugu wa waliookotwa koko beach nao roho ziko juujuu
Ukoo wa akina azory wana hasira Hawa Sijui nisemeje yaani nchi inawaka moto kwa ndani


Mzee dawa ya Hawa watu wape fedha achia fedha wasahau ugumu wa maisha lasivo chanzo chochote kile kikitokea usishangae nchi ikawaka moto
Wewe unaonekana ni mgonjwa.Tena ugonjwa ule m'baya.
 
Dunia ya sasa hulazimishi watu!Matango pori dunia ya sasa ukila ni uzembe wako tu!Wakoromije hawajui hiyo kitu. Hii nchi mnataka kuiharibu.
Ujue zito aliona mbali sana kusema Hawa jamaa ni washamba
Umewahi kuona mshamba akipanda Gari anakwambia miti inakimbia sana
 
Ili hali itulie na shughuli zirudi km awali bashite apishe uchunguzi wa tezi dume!bashite atolewe kafara maana ana dam ya kupe hapendwi kinoma.yaani bashite akiondoka tu patatulia sana
 
Ujue zito aliona mbali sana kusema Hawa jamaa ni washamba
Umewahi kuona mshamba akipanda Gari anakwambia miti inakimbia sana
Mkuu sasa ndo nimemuelewa Zitto , kauli ile niliichukulia juu juu tu! Sasa inamake a huge sense! Ushamba ni hatari sana kuliko udikteta wenyewe!

Sasa imagine mchanganyiko wa ushamba na udikteta, siyo safri safari ya shimoni hiyo ni kitu gani?
 
Ni kweli kama Taifa kuna changamoto lakini changamoto hizo ni lazima tukubaliane kwamba
1. Haziwezi kutatulika siku moja tena kwa maandamano.
2.Haziwezi kutatulika pia kama na sisi wenyewe nguvukazi ya Taifa tunapoteza muda mwingi kwenye kufanya mambo ya kutupotezea muda badala kufanya kazi kwa bidii.
3.Changamoto zilizopo haziwezi kutatulika kama sisi kila siku tunakuwa na mawazo hasi tu,yaani ina maana hatuna jambo chanya ambalo tunaweza kushauriana vijana tufanye nini.
4.Hatuwezi kutatua changamoto zilizopo kama vijana tumeamua kutumiwa na wanasiasa wakati nguvu zetu tungeelekeza kwenye maendeleo yetu vijana ingeleta tija.
5.Hatuwezi pia kutatua changamoto zilizopo kama kila kitu tunategemea serikali ifanye wakati wenyewe tumebweteka na kusubiri kufanyiwa kila kitu

KUMBUKA UNAPODAI HAKI YAKO KUMBUKA PIA KUTIMIZA NA WAJIBU WAKO KWANZA
 
Back
Top Bottom