Tathimini ya maendeleo ya Mbeya Mjini jimbo la Mh.Sugu kwa 2016

savo

JF-Expert Member
Sep 14, 2015
293
233
Ashukuriwe Mungu kwa kunijalia hadi ya leo ambayo ni ya 365 ya mwaka 2016. Asante wazazi wangu, ndugu zangu, marafiki zangu na wengine wengi kwa kunifanya mi kama nilivyo.

Asante wapiga kura wa mbeya tulojitokeza kupiga kura mwaka 2015 na kumwamini mh.Sugu Kwa kumpa tena Ubunge.

Ndugu zangu wana JF sipo Mbeya kwa muda kidogo nahitaji kujuzwa maendeleo yalipo au yanayoendelea kukamilika jimboni kwangu.

-Ingawa maendeleo ya mbeya kiujumla kiasi chake kumeendelea kidogo tofauti na kipindi cha Mh.Mpesya.
HAYA NDIYO NILOYAONA KWA KIPINDI CHA MWESHIMIWA SUGU 2016.
-Ashukuriwe Sugu kwa kupigania haki ya wamachinga pale mwajelwa kuhakikisha wanabaki kwenye maeneo yao ya awali na kufanya shughuli zao kama kawaida kutokana na usumbufu wa serikali tawala.


N.B Tushilikiane kuyajua yanayoendelea Mbeya hasa jimbo la Mh. SUGU kwa waliomo humu ndani.

Asanteni na maandlizi mema ya kuupokea mwaka 2017 salama Mungu atuongoze tuvuke salama.
 
1.kuboreshwa kwa barabara za mitaa zimejengwa za lami.
2.kununua vitanda vya kujifungulia wazazi meta.
3.kuleta amani na mshikamano ndani ya mbeya
ingawa zipo changamoto nyingi ndani ya jiji kama mpango mji usioendana na hadhi ya jiji
 
1.kuboreshwa kwa barabara za mitaa zimejengwa za lami.
2.kununua vitanda vya kujifungulia wazazi meta.
3.kuleta amani na mshikamano ndani ya mbeya
ingawa zipo changamoto nyingi ndani ya jiji kama mpango mji usioendana na hadhi ya jiji
Mipango miji hili nigumu sana kwa hapa mjini mkuu, nadhani sasa wakomae maeneo ya pembeni ili isiwe kama hapa katikati!! Moja ya kitu kinacho tuangusha mbeya ni ujengaji wa hvyo uliofanyika huko nyuma
 
Mipango miji hili nigumu sana kwa hapa mjini mkuu, nadhani sasa wakomae maeneo ya pembeni ili isiwe kama hapa katikati!! Moja ya kitu kinacho tuangusha mbeya ni ujengaji wa hvyo uliofanyika huko nyuma
ni kweli mkuu
 
Mbeya ya miaka 2012kurudi nyuma si yasasa nimefika mbeya miezi kazaa iliyopita nimeona mabadiriko makubwa Kiukweli.. .wamejitahidi
 
Mipango miji hili nigumu sana kwa hapa mjini mkuu, nadhani sasa wakomae maeneo ya pembeni ili isiwe kama hapa katikati!! Moja ya kitu kinacho tuangusha mbeya ni ujengaji wa hvyo uliofanyika huko nyuma
Yani ujengaji wa hovyo tena hovyo kweli. Afu nikifikiria wakati huo kulikua na afisa mipango miji, sijui afisa ardhi.. Na walikua wanalipwa mshahara, nabmagari ya kutembelea, roho inaniuma hadi uvunguni. Duu.. Saivi wajitahidi kuhakikisha panapangwa vizuri
 
  • Thanks
Reactions: GUI
mimi walinifurahisha kuweka stand pale nane nane basi...hata kama ni hatua kumi tu hadi nyumbani kwao sugu..
 
mi napendekeza mji utanuke hadi maeneo ya igawilo juu kule, nashukuru maeneo ya tambuka reli yamejengwa vizuri mpangilio wake ila tatizo ni mifereji haijapangwa vizuri kwa upande wa uyole bado hajaboresha
 
Yani ujengaji wa hovyo tena hovyo kweli. Afu nikifikiria wakati huo kulikua na afisa mipango miji, sijui afisa ardhi.. Na walikua wanalipwa mshahara, nabmagari ya kutembelea, roho inaniuma hadi uvunguni. Duu.. Saivi wajitahidi kuhakikisha panapangwa vizuri
Ukipita mabatini, kagera, isanga, nzovwe, kalobe na mwanjelwa yenyewe!!! Zinatia kinyaa mkuu, lkn naona kama bado wamelala pia maana kuna maeneo kama kule Ituha na Mwasanga hawana mpango nako kabisa
 
Mbeya ya miaka 2012kurudi nyuma si yasasa nimefika mbeya miezi kazaa iliyopita nimeona mabadiriko makubwa Kiukweli.. .wamejitahidi
Upo sahihi lkn shida nikuwa toka mwazo waliruhusu kujenga holela, unakuta mwanjelwa pale kuna jengo LA tofali bichi tena halija pigwa lipu
 
Dah pananiuzigi pale ata mwanjelwa hadi so vizuri lakini mbeya kwa ujengaji holela wapo sana,
-Angalia isanga, nzovwe, Nonde uyole baadhi ya maeneo dah hapapendezi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Ashukuriwe Mungu kwa kunijalia hadi ya leo ambayo ni ya 365 ya mwaka 2016. Asante wazazi wangu, ndugu zangu, marafiki zangu na wengine wengi kwa kunifanya mi kama nilivyo.

Asante wapiga kura wa mbeya tulojitokeza kupiga kura mwaka 2015 na kumwamini mh.Sugu Kwa kumpa tena Ubunge.

Ndugu zangu wana JF sipo Mbeya kwa muda kidogo nahitaji kujuzwa maendeleo yalipo au yanayoendelea kukamilika jimboni kwangu.

-Ingawa maendeleo ya mbeya kiujumla kiasi chake kumeendelea kidogo tofauti na kipindi cha Mh.Mpesya.
HAYA NDIYO NILOYAONA KWA KIPINDI CHA MWESHIMIWA SUGU 2016.
-Ashukuriwe Sugu kwa kupigania haki ya wamachinga pale mwajelwa kuhakikisha wanabaki kwenye maeneo yao ya awali na kufanya shughuli zao kama kawaida kutokana na usumbufu wa serikali tawala.


N.B Tushilikiane kuyajua yanayoendelea Mbeya hasa jimbo la Mh. SUGU kwa waliomo humu ndani.

Asanteni na maandlizi mema ya kuupokea mwaka 2017 salama Mungu atuongoze tuvuke salama.
Hivi maendeleo ya jimbo lenu yatapimwa kwa wel-being ya machinga pekee au ndio majolity of voters? maana umesema haya ndio ulioyaona kwa kipindi cha Mh sugu 2016.
 
Ashukuriwe Mungu kwa kunijalia hadi ya leo ambayo ni ya 365 ya mwaka 2016. Asante wazazi wangu, ndugu zangu, marafiki zangu na wengine wengi kwa kunifanya mi kama nilivyo.

Asante wapiga kura wa mbeya tulojitokeza kupiga kura mwaka 2015 na kumwamini mh.Sugu Kwa kumpa tena Ubunge.

Ndugu zangu wana JF sipo Mbeya kwa muda kidogo nahitaji kujuzwa maendeleo yalipo au yanayoendelea kukamilika jimboni kwangu.

-Ingawa maendeleo ya mbeya kiujumla kiasi chake kumeendelea kidogo tofauti na kipindi cha Mh.Mpesya.
HAYA NDIYO NILOYAONA KWA KIPINDI CHA MWESHIMIWA SUGU 2016.
-Ashukuriwe Sugu kwa kupigania haki ya wamachinga pale mwajelwa kuhakikisha wanabaki kwenye maeneo yao ya awali na kufanya shughuli zao kama kawaida kutokana na usumbufu wa serikali tawala.


N.B Tushilikiane kuyajua yanayoendelea Mbeya hasa jimbo la Mh. SUGU kwa waliomo humu ndani.

Asanteni na maandlizi mema ya kuupokea mwaka 2017 salama Mungu atuongoze tuvuke salama.




Mie nilidhani utaandika ukurasa ata tatu kumbe marndeleo aliyoyaleta yamejaza sentensi moja tu,ahh huyo mhe sugu 2020 ana kazi .
 
Sory sipo mbeya ila tukio hilo nililisikia kwa kishindo sana waheshimiwa ndomana nimetaka kujuzwa
 
1.kuboreshwa kwa barabara za mitaa zimejengwa za lami.
2.kununua vitanda vya kujifungulia wazazi meta.
3.kuleta amani na mshikamano ndani ya mbeya
ingawa zipo changamoto nyingi ndani ya jiji kama mpango mji usioendana na hadhi ya jiji
Haha sema tu kua hakuna lolote alilolifanya, hiyo amani na mshikamano uliyosema kaileta kwani Mbeya kulikua na vita? Bavicha bwana.
 
Ukipita mabatini, kagera, isanga, nzovwe, kalobe na mwanjelwa yenyewe!!! Zinatia kinyaa mkuu, lkn naona kama bado wamelala pia maana kuna maeneo kama kule Ituha na Mwasanga hawana mpango nako kabisa
Yani kwa Mbeya jimsi ilivo na hali ya hewa nzuri, na ile milima milima vile, yani nyumba zingekuwa zimepangwa vizuri, pangetisha sana.. Yani mitaa inatia kinyaa sana.. Hadi hasira
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Hivi mbeya yangu haingozi kwa uswazi tz
Airport ya zaman
Isanga
Simike
Nonde
Nzovwe
Kakobd
Lumbila
Ikuti
Iyunga
Mama john
Mwakibete
Ilemi
Nyibuko
Iyela
Asanga
Huko kwote ni uswazi wa kufa mtu.na bado kama kule iyela makabulini uswazi unavuka mto


Daah na.mji una watu ule,na tatizo ukifwetua tu tofauli unajenga na.nyumba ina dumu kwa bei rahisi ndio mana wanajenga kiholela

Hapa sijagusia mbalizi na.uyole

Siku wakiamua kugawa mitaa haki ya nani itaibuka vita ya pili ya tz baada ya UG kwasababu ni watu.wengi wamejenga kiholela
 
Back
Top Bottom