Taswira ya siasa ndani ya UKAWA

Taswira ya siasa ndani ya UKAWA

wangimarwa

Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
10
Reaction score
3
Ikiwa prof. Lipumba aliungana na wenzake kwenye huu umoja wa vyama vinavyopinga katiba yaani ukawa. Na pia wakaja wakaafikiana kuunga kwa ajili ya kukiondoa madarakani CCM inakuwaje leo anajiuzulu uwadhifa wake wa m/kiti je haoni kama amekiuza chama chake cha CUF? Na kama wenzake wamekiuka masharti waliojiwekea kwann asingesimama kidete kwenye hili ili kukinusuru chama chake cha CUF na je haoni kuwa anaweza kuja kulaumiwa na wanachama wa CUF endapo mbeleni yatatokea yasiyotarajiwa? Au nini taswira nzima ya CUF na ukawa kiujumla kwenye siasa?
 
kwahiyo ulitaka akili ndogo iitawale akili kubwa sio???? form4 amuongoze prof???? wapi na wapi, hayo ndo maajabu yenyewe
 
So mkuu@ Nando@ unauzungumziaje huu muungano wa vyama pinzani yaan UKAWA je vitafikia malengo vilivyojiwekea? Au we unalizungumzia vp?
 
kwahiyo ulitaka akili ndogo iitawale akili kubwa sio???? form4 amuongoze prof???? wapi na wapi, hayo ndo maajabu yenyewe

Kama hoja ni elimu prof.Lipumba angeipaisha sana cuf huku bara na kwa elimu yake hiyo asingepata 6% uchaguzi mkuu 2010. Prof. Lipumba mnafiki sana dunia imejua hilo.
 
Haujui kuwa makamu wa 1 wa rais Zenzi ni CUF?Ukawa umejaa watu wenye mihemko tu.Wengi hawana akili na ni wazurulaji walojilea.Watakaposhndwa ndo watakapojua kuwa Tz ina wenyewe!
 
kwahiyo ulitaka akili ndogo iitawale akili kubwa sio???? form4 amuongoze prof???? wapi na wapi, hayo ndo maajabu yenyewe

Hiyo form4,magamba inawatesa usiku na mchana. Tukitinga magogoni tunaenda kuiongeza kama anavyo fanya mukulu wa Sasa.
 
ana dhani kuacha uenye kiti wa CUF ndo kutofahamika kama amenunuliwa na ccm!!
 
vidoki II weka hoja siyo kutukana matusi, kama huna hoja soma bahari then timka kivyako sawa dogo.
 
Ikiwa prof. Lipumba aliungana na wenzake kwenye huu umoja wa vyama vinavyopinga katiba yaani ukawa. Na pia wakaja wakaafikiana kuunga kwa ajili ya kukiondoa madarakani CCM inakuwaje leo anajiuzulu uwadhifa wake wa m/kiti je haoni kama amekiuza chama chake cha CUF? Na kama wenzake wamekiuka masharti waliojiwekea kwann asingesimama kidete kwenye hili ili kukinusuru chama chake cha CUF na je haoni kuwa anaweza kuja kulaumiwa na wanachama wa CUF endapo mbeleni yatatokea yasiyotarajiwa? Au nini taswira nzima ya CUF na ukawa kiujumla kwenye siasa?

Ni mengi sana yasiyotarajiwa yatatokea kwenye ukawa.
1.Je watafuata sera za chadema,cuf,nccr au nld?
2.Nani atakuwa na haki ya kuteua wabunge wa viti maalum?
3.Maalim seif sidhani kama anautaka muungano je Lowasa naye atakuwa tayari uvunjwe?
4.Madaraka ya amiri jeshi yatakuwa chini ya chama gani?
 
Lipumba yule alisha fika mwisho kisiasa ndo ukomo wake pale (Political Diminishing return). Mtasikia ataenda kwa zitto ACT maana wanamawasiliano ya karibu mno
 
hana usomi wowote yule, KUNA MAHALI NIMESSOMA LEO KUWA AMESHAPOKEA CHAKE TOKA LUMUMBA!! inatakiwa CUF WAKITHIBITISHA MADAI YA LIPUMBA KUENDESHA VIKAO NA CCM NA KUMNUNUA SH 3.5 bilion wamfukuzie mbali huyo funza wa kissiasa!!
 
kwahiyo ulitaka akili ndogo iitawale akili kubwa sio???? form4 amuongoze prof???? wapi na wapi, hayo ndo maajabu yenyewe
We ndrooooobo sana sasa mbona baba Ritz anawaongoza maprof na yeye mwenyewe akiwa prof. Mkuu from China?
 
Prof au mtu mzima hovyo!! Ninaomba jina libadilishwe siyo prof tena ni mtu mzima hovyo!!
 
kwahiyo ulitaka akili ndogo iitawale akili kubwa sio???? form4 amuongoze prof???? wapi na wapi, hayo ndo maajabu yenyewe
Mkuu hivi Lusinde Livingstone alikuwa mbunge kwa kupitia chama gani?unataka kusema Nape ndo msomi mkubwa kabisa huko ccm?Hivi ccm imewaokoka wapi mbona hamfanani kabisa na ccm
 
Back
Top Bottom