Taswira ya maduka jijini Mwanza leo

Taswira ya maduka jijini Mwanza leo

thom71

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
36
Reaction score
9
Jambo hili litakwisha lini?
 

Attachments

  • 1392109195381.jpg
    1392109195381.jpg
    77.7 KB · Views: 690
Waache wizi walipe kodi! Ninaponunua TV nailipia 18% kama kodi, wao wamezowea ujanjaujanja wa kuzitia mfukoni kodi za wananchi ndiyo maana hawataki mashine! Na serikali imeshakomaa sasa, tuone kama hiyo milango hawataifungua.
 
safi sana! na kwa mtindo huo ipo tu siku kitanuka humu mchini!
 
nimeanzish ka utaratibu kangu ka kudai risiti za EFD ninapokunywa bia zaidi ya mbili so jamani tushirikiane kuhakikisha watu wote wanalipa kodi kwa maendeleo ya nchi yetu
 
Ni nomaaa! lakini kwa kuwa serikali ya JK ni sikivu basi tataizo litakwisha.
attachment.php
 
Waache wizi walipe kodi! Ninaponunua TV nailipia 18% kama kodi, wao wamezowea ujanjaujanja wa kuzitia mfukoni kodi za wananchi ndiyo maana hawataki mashine! Na serikali imeshakomaa sasa, tuone kama hiyo milango hawataifungua.
Kwani nchi hii imeshakusanya kodi ngapi....na nini inafanya
 
Waache wizi walipe kodi! Ninaponunua TV nailipia 18% kama kodi, wao wamezowea ujanjaujanja wa kuzitia mfukoni kodi za wananchi ndiyo maana hawataki mashine! Na serikali imeshakomaa sasa, tuone kama hiyo milango. hawataifungua.
acha hzo ww unaona ujanja wa wafanyabiashara 2 mbna huon uwiz unaofanya na viongoz wa ccm!
 
nimeanzish ka utaratibu kangu ka kudai risiti za EFD ninapokunywa bia zaidi ya mbili so jamani tushirikiane kuhakikisha watu wote wanalipa kodi kwa maendeleo ya nchi yetu

huo sasa ni uonevu!
 
samubagula kama shida yao ni kuendelea kuiba kodi watafute ujanja mwingine, huo ulishapitwa na wakati! mtu hazuiwi kuiba, lakini asije kuandamana uhalalishwe...tunaoibiwa ni sisi wanunuzi wa mwisho, TUDAI RISITI ZA MASHINE!
 
Last edited by a moderator:
Kodi lazima walipe, na matumizi ya EFD lazima yawe ya kudumu. Hatuwezi kuwa Taifa la walipa kodi wachache na wengi wao wawe ni ujanja-ujanja tu. Lazima kodi zilipwe. Kenya wamefanikiwa sana kwa kutumia EFD. Hapa suala la bei za hizo mashine ni kisingizio tu. Watanzania hatuna utamaduni wa kulipa kodi. Nasema, kodi lazima ilipwe. Kwa sasa walipa kodi nchi hii ni walio kwenye ajira rasmi tu! Mtu anauza tv 10 kwa siku halafu anagoma kulipa kodi! Haiwezekani. Hata kwa kutumia virungu, lazima kodi ilipwe tu! Tukimaliza hiyo hatua, ndipo tuingie hii nyingine ya matumizi ya fedha za kodi, maana kuna genge la wachache ambao kazi yao ni kula tu. Kwa sasa TRA wanakusanya Sh bilioni 700 kwa mwezi, lakini wafanyakazi hawapati mishahara. Hilo liwe jukumu la pili baada ya kuhakikisha kila mmoja analipa kodi kwanza!
 
Back
Top Bottom