Niukweli usio pingika kwamba watanzania ni lazima tubadilike la sivyo tutatengeneza matabaka ndani ya nchi yetu
wenyewe tusipo kuwa makini!!!hayati baba wa taifa hili alijitahidi kupga vita matabaka hasa katika swala zima la ukabila
ndani ya nchi hii lakini wanasiasa wa kipindi hiki wanajaribu kutengeneza tabaka lengine la uchama sasa ni lazima tuwe
makin watanzania wenzangu!!!!
wenyewe tusipo kuwa makini!!!hayati baba wa taifa hili alijitahidi kupga vita matabaka hasa katika swala zima la ukabila
ndani ya nchi hii lakini wanasiasa wa kipindi hiki wanajaribu kutengeneza tabaka lengine la uchama sasa ni lazima tuwe
makin watanzania wenzangu!!!!