TARURA wako wapi?

fire and fury

Member
Joined
Jan 8, 2018
Posts
12
Reaction score
3
Haiingii hakilini kwamba maji yote yanayotokea mwananyamala, regent street yanaleta mafuriko mtaa wa Chato hata kama mvua ni manyunyu bila hatua zozote kuchuliwa.

Hao TARURA wako wapi. Au ndiyo juhudi za kukwamisha kasi ya awamu ya sita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…